Wabakaji wa siku hizi siyo kwamba wanasukumwa na hamu ya mapenzi. Hapana.
Sababu kubwa ni kutafuta utajiri kwa njia ya mkato. "Kutembea" na bikra ni moja ya masharti yanayotolewa na waganga wa kienyeji. Ndiyo maana wanaobakwa ni watoto wadogo wa miaka chini ya 10.
Badala ya kuendelea kutengeneza sheria kali za kuwahasi wabakaji, kuwaua ama kuwafunga miaka mingi, ni vema kudhibiti chanzo cha unyama huu kwa kupambana na umaskini unaowakabili Watanzania.
Sababu kubwa ni kutafuta utajiri kwa njia ya mkato. "Kutembea" na bikra ni moja ya masharti yanayotolewa na waganga wa kienyeji. Ndiyo maana wanaobakwa ni watoto wadogo wa miaka chini ya 10.
Badala ya kuendelea kutengeneza sheria kali za kuwahasi wabakaji, kuwaua ama kuwafunga miaka mingi, ni vema kudhibiti chanzo cha unyama huu kwa kupambana na umaskini unaowakabili Watanzania.