MpiganiaUhuru
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 777
- 912
Deleted!
Wewe ni mkabila? Watch out!:ban:
Topic nzima umejaa wewe ebu acha watu wachangie basi£%
Ni upuuzi huo unaozungumza, hivi hujasikia leo jeshi la polisi likisema bom lao lililipuka kimakosa? Shirikisha ubongo wako na .......
Wewe si faiza. Faiza alikua anajua kuandika kiswahili.
Achana na mimi changia hoja. Nilikushika mkono?
Soma post #1
Mkuu Tigga Mumba Mambo ya Siasa hata siyajuwi kamwe ila ninashangaa Member wengi waliochangia Thread yangu ni Wanaunga mkono Chadema wakishindana na Member Mmoja mkongwe Bibie.@FaizaFoxy kawashinda wote wanaopinga CCM kwani huyu FaizaFoxy ni ni CCM Damu. Kasheshe kweli Majangaa Majangaa...................MziziMkavu kumbe nawe upo kwenye siasa hizi? Aisee nimehuzunika kweli kweli maana nakuaminia sana. Embu tumalizie lile story letu la MAJANGA kule MUM
Faiza,we umetokea mkoa gani?Ama wewe ni mzanzibari?Tuoneshe moja lililopikwa. Ukweli mchungu.
Halafu hao mnataka watu wawape kuongoza nchi?
Wataihamisha nchi yote waipeleke Kilimanjaro.
so stupid!!!!! nyie nchi mmeipeleka wapi??? bagamoyo??? ​SHAME UPON YOU NA POSHO YAKO YA BUKU SABA