FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Faiza,we umetokea mkoa gani?Ama wewe ni mzanzibari?
Asili yangu ni Dar, Kijiji chetu Shungubweni, Mkuranga. Bamvua kubwa samaki mpaka ukumbini kwa Al Marhum babu yangu.
Faiza,we umetokea mkoa gani?Ama wewe ni mzanzibari?
Sijakuuliza asili yako,asili yako haiwezi kuwa Dar hata kama mnavua samaki hadi ukumbini!Asili yangu ni Dar, Kijiji chetu Shungubweni, Mkuranga. Bamvua kubwa samaki mpaka ukumbini kwa Al Marhum babu yangu.
Sijakuuliza asili yako,asili yako haiwezi kuwa Dar hata kama mnavua samaki hadi ukumbini!
Sema tu umezaliwa Dar.
Maoni yangu ni kwamba hatutaweza kuwa na nchi moja na watu kama wewe.Tena ukizingatia ubaguzi wenu na chuki dhihi ya watu wa bara,lazima kuna cku kitanuka na hapo maybe kuna mtu atakuuliza asili yako ni wapi.
kichomi ni kichomi tu!! lakini ujinga ulio jivika sasa utakutoka siku ukijitambua!!Unafikiri anatoa nani? hujui maana ya wapiga kura?
Halafu hao mnataka watu wawape kuongoza nchi?
Wataihamisha nchi yote waipeleke Kilimanjaro.
Mimi ni Mtanganyika.I'm almost certain asili yako si Tanganyika.Asili yangu ni Dar. Labda wewe ndio wakuja.
Mimi ni Mtanganyika.I'm almost certain asili yako si Tanganyika.
kichomi ni kichomi tu!! lakini ujinga ulio jivika sasa utakutoka siku ukijitambua!!