The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,280
Orijino.
Kama komedi vile
Orijino.
Wachafuzi wa thread!
Halafu hao mnataka watu wawape kuongoza nchi?
Wataihamisha nchi yote waipeleke Kilimanjaro.
Halafu hao mnataka watu wawape kuongoza nchi?
Wataihamisha nchi yote waipeleke Kilimanjaro.
Anaogopa kuwa akinukuu Habari Leo basi thread itakuwa imekosa maana.mleta mada kwanini usiseme tu chanzo cha habari hii ni gazeti la serikali ya ccm la "habari leo"?.........
bora ihamie kilimanjaro ambayo bado ni tz kuliko manguruwe a.k.a wakoloni weusi mnaohamishia kwa makaburu,
Halafu hao mnataka watu wawape kuongoza nchi?
Wataihamisha nchi yote waipeleke Kilimanjaro.
Sijui kwanini unasahau ukweli halafu unautetea kwa nguvu sana uongo .... kwenye thread hii hili la ukabila unalipenda sana....!
ulisoma "Historia"? km ndiyo ... haukuwahi kuona mapambano ya kikabila kt watemi wa makabila ya Kilimanjaro? Je haujui hakuna kabila la Wachaga? Ila Wachaga ni mkusanyiko wa Makabila km ma4 au zaidi (wakibosho, wamachame, wamarangu, warombo nk) ... Unaposema Wachaga tayari umeisha ondoa ndhana ya Ukabila kwasababu unataja muungano wa makabila zaidi ya moja....!
Sijui km nitaeleweka kabila la wachaga siyo moja kama waha, au wa haya au wasukuma ... Mwanza mpaka Shy lugha ni ile ile tofauti sana na Wachaga wenye kutosikilizana hata kwa sentensi ....!
Ila imekua vyema sana Ukabila utumike kukataa watu ili taifa litetereke hadi tuamue kuuacha mtizamo huo...
Trash! Haina mashiko. Kilimanjaro haiko Kenya.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Ndio sababu mnaamua kuwapiga mabomu watu wa kaskazini kama mlivyofanya kule Ar?Halafu hao mnataka watu wawape kuongoza nchi?
Wataihamisha nchi yote waipeleke Kilimanjaro.
Mimi nayakumbuka ya UVCCM pwani wakiongozwa na Prince Ridhiwani Kikwete kwamba Mrithi wa JK hawezi kutoka kaskazini.
Na pia nakumbuka JK alituambia anayo orodha ya wauza unga, kwahiyo hawa wanaokamatwa sasa hivi na kuvusha kilo 150 ambazo ni sawa na mifuko mitatu ya cement basi haka Karidhiwani katakuwa ndio jemedari wao, ndio maana Baba yupo kimya.
Wache kunitukana sisi wengine tumezoea kutukanwa wataishia kutukana tu kwa mingine hawawezi mkuu Lizaboni
Ni mfupi wa kumbukumbu, tutakukumbusha.
Ritz tafadhali mkumbushe huyu kijana Nasari alisema nini.
Ndio sababu mnaamua kuwapiga mabomu watu wa kaskazini kama mlivyofanya kule Ar?
dada mzima! Umeadimika sana
+ Mabibo juzi. So una justify kuwa nyie ni mabingwa wa kuuwa wapinzani wenu!Na Iringa umesahau?
baada ya kunuswa na mbwa wa kizungu alokuja nao Obama naona unaonekana hapa JF!?