Ubaguzi wazidi kuiangamiza CHADEMA

Ubaguzi wazidi kuiangamiza CHADEMA

Atakaeleta udini au ukabila hataweza kupata uongozi nchii hii hata siku moja haiwezekani cdm mjijadili upyaaaaaaaaa
 
Nimelipenda hilo jibu la DED wa Kigoma! Eti aliyepata kura nyingi atangazwe kuwa mshindi?!! Jibu rahisi kwa swali gumu, CCM imejaa uchakachuaji kila kona!
 
Good analysis. Ila najua kuna watu watakutukana na kukupa majina kibao ya ajabu

Mbona unasifia kisichoonekana?

Analysis; - "Detailed examination of the elements or structure of something, typically as a basis for discussion or interpretation."

"The process of separating something into its constituent elements."

Sioni hiyo analysis unayoifagilia hapa!

Kwanini sisi km WATU tumeamua kufikia hapa? Yaani hata kuandika mantiki imekua haiwezekani....sijaona "detailed examination" hapa la ajabu eti mtu anasifia kwa kuiita "good analysis" mmmmh....! tutafika lakini ila kazi ipo....! eti hawa wenye uelewa huu ndio wanaotawala nchi??? Dah!!!!
 
Kwani laima waungane na chadema wakati waliisha ungana na ccm? Vitani ni lazima uwe makini na marafiki cause your best friend can be your worse enemy.
 
Source ni Habari leo sioni cha ajabu gazeti la serikali kuisiliba Cdm maana miti yote imeanza kuteleza.
 
Atakaeleta udini au ukabila hataweza kupata uongozi nchii hii hata siku moja haiwezekani cdm mjijadili upyaaaaaaaaa

Haijawahi kuwezekana kuwa na chama au kikundi chenyewe kikawa na sifa ya UDINI na UKABILA kwa pamoja..... inawezekana tu ktk ufikiri wa wanaCCM na washirika wao vinginevyo ni ngumu Mno ... kwa mwanazuoni yeyote hata kuthubutu kufikiria uwezekano wake...!

Unapoita chama fulani ni cha kidini tayari umeisha jumuiasha makabila kadhaa wa kadhaa...! Unapoita chama fulani ni cha kikabila tayari umeisha kivua udini wake manake dini Ina makabila mengi.....lakini CDM kimeitwa ni Chama cha Kidini na Kikabila na ikawezekana kuaminika hivyo.... !

My Take;

Kama CDM kimeweza kuwa na uwezo wakuwa chama cha Kidini na Kikabila basi kina uwezo wa kuwa chochote Tanzania na Duniani!
 
Al Saif jidanganye na watu wako Arusha hakuna Meya.
Nccr &Cuf si vyama vya upinzani zile ni CCM kwa jina la pembeni
 
Lisemwalo huwa lipo na Ukweli mara zote hujitokeza.

CHADEMA wanajitahidi ku-spin lakini ukweli uko pale pale. Kwa kudanganya wananchi, kwa sasa wanajitahidi kuvaa ngozi ya mtazamo wa kitaifa lakini mwonekano wa INNER CIRCLE ya CHADEMA hakuhitaji kuambiwa tazama.

Ubaguzi unapokuwa kwenye damu, hakuna kitu kitakacho ufanya uondoke, hii inakuwa ni sawa na addiction ambapo kila wakijaribu kuundoa, wanajikuta bila kujitambua wanarufi tena kwenye ubaguzi hasa pale chaguzi na teuzi zinapofanyika.
 
Back
Top Bottom