Lisemwalo huwa lipo na Ukweli mara zote hujitokeza.
Mwana diwani,Mingoi na Baba yako ni I'd 3 za mtu mmoja?mbna znaingia kwa kufuatana halafu idea za kipuuzi ni zilezile,Mfano baba yako lazima ataje tindikali kwenye comment zake
CHADEMA wanajitahidi ku-spin lakini ukweli uko pale pale. Kwa kudanganya wananchi, kwa sasa wanajitahidi kuvaa ngozi ya mtazamo wa kitaifa lakini mwonekano wa INNER CIRCLE ya CHADEMA hakuhitaji kuambiwa tazama.
Ubaguzi unapokuwa kwenye damu, hakuna kitu kitakacho ufanya uondoke, hii inakuwa ni sawa na addiction ambapo kila wakijaribu kuundoa, wanajikuta bila kujitambua wanarufi tena kwenye ubaguzi hasa pale chaguzi na teuzi zinapofanyika.