Ubaguzi unaendelea kuitafuna CHADEMA

Ubaguzi unaendelea kuitafuna CHADEMA

Tatizo sio kuwasiliana bali uwasiliana kwa sababu zipi?Kumuwekea mtu sumu?Kutoa siri za vikao?

Punguza upotoshaji na unafiki

Bado umerudi pale pale kwenye hoja ya mwandishi,chadema kuwasiliana na watu wa usalama kupata siri ni sawa ila usalama kuwasiliana na chadema kupata siri hapana. Huu ni unafiki wa hali ya juu sana.
What goes around comes around.
 
kwenye majukwaa umesikika mara nyingi ukiwabeza watu wa kaskazini,hakuna mbaguzi kama wewe na hata ile clip ya wamasai wa ole medeye kule Arusha wakipanga mauaji ya Arusha uliifurahia sana
Punguza kuropoka maaana unadhaniaga kuropoka vile jukwaani ndio sifa then jaribu kushirikisha ubongo wako na mwili wako
Ndugu,
Kwenye majukwaa yapi hayo wakati jukwaa langu ni hili!.

Nadhani unafikiria kwa kutumia njozi.

Jikite kwenye hoja iliyoko mezani.
 
Ukiona ccm wanaangaika sana na Chadema jueni chadema wako juu ya ccm

Mwanahabari Huru
 
Imran kombe
Sokoine
Horace kolimba
Gama
Waliuliwa na nani??
Ccm mnabatizwa wataalam wa kukolimba
 
Kumuwekea mtu sumu? kwa ushahidi gani? wa kumminya mtu makende na kumlazimisha aseme alitaka kuweka sumu? ilikuwa lazima kufanya hivyo kama kuna ushahidi dhahiri? Hizo sumu wanachadema huwa mnazipata wapi? maana ni ninyi tu wataalamu wa kuwekeana sumu kwenye vimiminika, why? Mara umesahau yaliyokukuta?


Akiemwekea sumu Kolimba ni mwaacha dema?
Alie mwekea sumu mgimwa ni mwana chadema?
Aliewawekea sumu mwakyembe anyonyoke nywele kama broilla ni cdm!aliemwekea sumu mwandosya??
Ccm mbona hamna aibu na dhambi zenu zipo.wazi?
 
Km mtu anapewa hela ili scandal ya Buzwagi asiwasemee wananchi. Adhabu yake nn km sikumtenga? Tunataka kujenga nchi wenye viongozi wenye uzalendo wa kulinda maslahi ya nchi. Sikupewa virushwa. Mtei na Nyerere alishauriwa wakati ule ndio warithi wake wanatekeleza leo. Mimi napenda kuwaeleza ma ccm km Zitto nikifaa mchukueni awe mgombea wenu wa Urais. Barcelona wakimtema Messi Chelisea wanasajili.
 
Kati ya vitu ambavyo sitakaa nimridhishe au kumsimulia mtu, na hasa mtoto wangu ni kuhusu CCM.

Sina ushabiki wa vyama, ila kwa hiki chama sipendi hata kusikia. Kama ni kichaka, ni kile kisicho pitika hata na sisimizi.
 
naona magamba yanaweweseka baada ya pandikizi lao kutemwa
 
Chadema tafuteni mchagga akamrithi ubunge Zitto kigoma
 
Mama Tibaijuka alikula mshiko through Mkombozi Bank akatimuliwa uwaziri. Lakini boss wake naye kala mshiko kama ule ule tena mkubwa zaidi kuliko wa Prof. Tiba kupitia Stanbic lakini anapeta na kibaya zaidi ndiye alimtimua Mama Tiba. Sasa kama hiyo si discrimination utaita nini?
 
Kuwa mkweli japo utakugharimu sio kwakua wamesema maboss wako nawewe ufuate wewe unaamini hiyo sinema yakuwawa dr au nikiki tu kua mkweli japo utaitwa msaliti
Ndugu,

Hiyo ni tabia ya wanafiki.

Tatizo anajaribu kuwajengea mazingira mazuri wanafiki wenzake ili wampe shavu la kiongozi wakati hata wao wanafahamu unafiki wake kiasi kwamba, hawawezi kumkaribisha katika meza yao kwa sababu hawamuamini katika kazi zake.
 
Mtandao unaoendesha CCM leo si ndiyo walituambia Waziri Mkuu Mstaafu ni Mwarabu?

Kwani Kingunge wakati anamtetea JK pale Kimwaga si alimpatia Kinana uraia wa Somalia? Au mnafikiri haya hayajulikani!

Wakati mnajaribu kuumba umba kwa ajili ya propaganda dhidi ya CHADEMA, uchafu wenu uko wazi peupe.

Unao uthubutu wa kutuambia Mzee Mangula alikuwa anawasiliana na Kagenzi kwa ajili ya nini?

Unaweza kutuambia alikuwa anamtumia fedha Kwa ajili ya nini?

Unaweza kutuambia alikuwa anaongea masaa 10 Kwa ajili ya nini?

You're caught naked again. Hamna pa kuchomokea. Kila hila mnayofanya inabainika, hamjajua tu kuwa Mungu ameshaondoa baraka za utawala mikononi mwenu!

Vyombo vya dola kufanya surveillance kwa vyama vya upinzani kwa ajili ya chama tawala ni kosa! Period.

Matokeo yake mnamuingiza Mzee Mangula Kwenye tuhuma ambazo zitamfanya astaafu siasa akiandamwa na aibu kubwa katika jamii!

Eti aliletwa kuja kupambana na waliotoa rushwa Kwenye uchaguzi Mkuu! Phew.

Watoa rushwa ambao Katibu Mkuu Kinana na Nape wameenda kuwasujudia Monduli! Hahahaa hahaa.
 
Mtandao unaoendesha CCM leo si ndiyo walituambia Waziri Mkuu Mstaafu ni Mwarabu?

Kwani Kingunge wakati anamtetea JK pale Kimwaga si alimpatia Kinana uraia wa Somalia? Au mnafikiri haya hayajulikani!

Wakati mnajaribu kuumba umba kwa ajili ya propaganda dhidi ya CHADEMA, uchafu wenu uko wazi peupe.

Unao uthubutu wa kutuambia Mzee Mangula alikuwa anawasiliana na Kagenzi kwa ajili ya nini?

Unaweza kutuambia alikuwa anamtumia fedha Kwa ajili ya nini?

Unaweza kutuambia alikuwa anaongea masaa 10 Kwa ajili ya nini?

You're caught naked again. Hamna pa kuchomokea. Kila hila mnayofanya inabainika, hamjajua tu kuwa Mungu ameshaondoa baraka za utawala mikononi mwenu!

Vyombo vya dola kufanya surveillance kwa vyama vya upinzani kwa ajili ya chama tawala ni kosa! Period.

Matokeo yake mnamuingiza Mzee Mangula Kwenye tuhuma ambazo zitamfanya astaafu siasa akiandamwa na aibu kubwa katika jamii!

Eti aliletwa kuja kupambana na waliotoa rushwa Kwenye uchaguzi Mkuu! Phew.

Watoa rushwa ambao Katibu Mkuu Kinana na Nape wameenda kuwasujudia Monduli! Hahahaa hahaa.

Kamanda Tumaini Makene ccm wanacheza kale kamchezo kakupunga majini Mchana alafu usiku wanaenda kanisani, wasijue Mungu hadanganywi. Njama chafu za ccm dhidi ya chadema tumezijua na tutaendelea kujua, ccm wamefika pahali wanataka kudandia mpaka kazi za chadema hahaha poleni tokalini Fisi akala majani shame ccm
 
Lizaboni
hakuna binadamu hata mmoja aliyewahi kumsifia adui yake, daima ni kumponda kwa kila namna awezavyo.

Chadema wakifukuzana wewe ccm inakuuma nini? Kwanini usifurahi na kushangilia kimyakimya kwa kuwa wanajibomoa wenyewe? Unatamani kushiriki dhambi ya ubaguzi kwa kuutangaza ubaguzi wa chadema?

Bila shaka ktk vita au mapambano siku mtego wako ukimnasa adui siku hiyo huwa ni siku ya furaha sana, lakini huwa ni kinyume pale mtego unapoteguliwa hakika huwa inauma sana.

Mlitege pabaya, tena peupe mlie na kusikitika kwani adui yenu amefahamu kuwa alikuwa ametegeshwa na kuamua kutegua mtego wenu.

Kumwaga damu isiyo na hatia ni vigumu sana.

Waliojifukuza chadema waacheni watafakari jamani, ila kama inawauma waiteni muwape nafasi kwenu.

CHADEMA SIO CHAMA CHA WACHAGA, NI CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO

Mungu ubariki tanzania na wakaao ndani yake, wena na wabaya maana ndivyo tulivyo na tutaendelea kuwa hivyo, lakini baba kwa mapenzi yako ikiwwzekana utufanye kuwa wenye amani, upendo na mshikamano. Amina.

Hakika umenena....Hongera sana
 
Last edited by a moderator:
Kumuwekea mtu sumu? kwa ushahidi gani? wa kumminya mtu makende na kumlazimisha aseme alitaka kuweka sumu? ilikuwa lazima kufanya hivyo kama kuna ushahidi dhahiri? Hizo sumu wanachadema huwa mnazipata wapi? maana ni ninyi tu wataalamu wa kuwekeana sumu kwenye vimiminika, why? Mara umesahau yaliyokukuta?
Ndugu,
Hata ninashangaa sana.

Mambo ya kuwekeana sumu tunayasikia pekee kutoka ndani ya CHADEMA.
 
Km mtu anapewa hela ili scandal ya Buzwagi asiwasemee wananchi. Adhabu yake nn km sikumtenga? Tunataka kujenga nchi wenye viongozi wenye uzalendo wa kulinda maslahi ya nchi. Sikupewa virushwa. Mtei na Nyerere alishauriwa wakati ule ndio warithi wake wanatekeleza leo. Mimi napenda kuwaeleza ma ccm km Zitto nikifaa mchukueni awe mgombea wenu wa Urais. Barcelona wakimtema Messi Chelisea wanasajili.

Haya mmebaki na Tundu Lissu kazi kwenu.Atawasemea wananchi.
 
Back
Top Bottom