sacred wall
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 804
- 1,318
kwahiyo Tanzania idhulumu vitu vyatu?Tukiiangusha Tanzania hata siasa hazitakuwa na maana.
kwahiyo Tanzania idhulumu vitu vyatu?Tukiiangusha Tanzania hata siasa hazitakuwa na maana.
Dhulma ipi tena?kwa vipi, kama alivyosema ukweli hapo? dhuluma ndio uzalendo?
Imedhulumu vipi kwani?kwahiyo Tanzania idhulumu vitu vyatu?
mlipeni mzunguDhulma ipi tena?
Alifanya biashara gani kwani?mlipeni mzungu
Nilidhani naongea na mtu sensible kumbe ni hao wa ndio! Kwaheri!Alifanya biashara gani kwani?
Ishauri serikali ilipe deni na kutatua mgogoro kwa njia sahihi, kukwepa tatizo kwa ujanja ujanja ni kuliongrza na si kulitatua..Pole kwa Rais wa JMT kwa ndege yake kukamatwa.
Pole kwa Waziri Kabudi kwa TZ kusalitowa.
Pole kwa Waziri Mahiga kwa mateso kutuma vijana Canada
Pole kwa serikali yetu yote kwasababu ndege ni ya serikali.
Pole kwa CCM, kwasababu serikali ni ya CCM.
Pole kwa wanasheria watakaoteseka.
Pole kwa ATC ndege yao kukamatwa hivyo kuchelewesha kupiga pesa.
Pole kwa sisi Watanzania wote kwa ndege yetu kukamatwa na kututia hasara ambayo ni sisi tutaifidia.
Ndege ni rais Magufuli kwasababu ndiye aliyeamua kuinunua kwa cash money.
Ndege ni ya serikali kwasababu inamilikiwa na serikali 100%.
Ndege ni ya ATCL kwasababu ATCL ndio wanaitumia.
Ndege ni ya Sisi Watanzania wote kwasababu fedha zilizonunulia ni fedha zetu, na sisi ndio tunaoipanda.
Pole hata hawa Watanzania wenzetu wanaofurahia na kushangilia ndege yetu kukamatwa nao pia wataifidia hii hasara maana ndege pia ni yao bila kujijua.
Pole wote.
P
Wewe ndio una kasoro kichwani. Unaanzaje kuchanganya siasa na maslahi ya taifa? Unajua hata hicho kisa cha huyo mzungu na historia yake ya kusaka pesa kwa ujanja ujanja? Jielimishe, usisombwe na upepo usioujuaNilidhani naongea na mtu sensible kumbe ni hao wa ndio! Kwaheri!
Mwenye kasoro kichwani ni wewe, hivi mtu anaweza kukurupuka tu na kuishtaki nchi, Taifa, serikali, Jamhuri hovyo hovyo tu?
Hiyo ndege haikanyagi Tanzania bila kulipa deni, Serikali ya kidikteta,dhulumati acha ifundishwe adabu
Wahenga walisema DAWA YA DENI KULIPA TU HAKUNA NAMNA NYINGINE.Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
Hicho kinaitwa KISWANGLAND looohl!!!Pascal Mayalla,
My brother Pascall, we were not happy coz of our plane being detained in South Africa, no no no, we were happy coz this awamu ya tano thinks that they are clever than even God himself, if you see a president who kills, orders 37 bullets to be pumped into an opposition MP, orders the military to buy korosho yet korosho is nowhere near things like rockets, sumarines or fighter jets.
A president who denies people right to express themselves, what else do you expect from the majority of those who such a dictator president is opressing? i can tell you pascal my brother for free, lots of us will be more than happy if God sends this person(you know who i am talking abaut) to hell fire where he RIGHTFULLY BELONGS, nice weekend bro
Kitendo cha serikali ya Magufuli kugoma kulipa hilo deni bila kufuata sheria ni kusababisha janga kwa Taifa. Mwishoni tunalipa deni, penalty na kudhalilika juu...propaganda hazitaondoa ukweli mchugu ya kuwa tunadaiwaJapo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
Ndiyo Kwa manunuzi ya vitu vikubwa!Baba unaponunua vitu vya nyumbani, huwa unashauriana na watoto wako nyumbani?.
P
Mkuu Pascal Mayalla siipendi ccm lakini kwenye mambo kama haya nipo pamoja na serikali yangu na hapa ndipo wapinzani wanakuwa wapingaji wa maendeleo yetuJapo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
Kwanini Ushindi wa 99.9 hau reflect umoja wa kitaifa?Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
OkMwenye kasoro kichwani ni wewe, hivi mtu anaweza kukurupuka tu na kuishtaki nchi, Taifa, serikali, Jamhuri hovyo hovyo tu?
Hiyo ndege haikanyagi Tanzania bila kulipa deni, Serikali ya kidikteta,dhulumati acha ifundishwe adabu
Tumenasa kwenye demaNdege zenyewe wala hazina routes za uhakika bado wanaongeza nyingine. Hapa unaona kabisa kuwa kuna anaenufaika na manunuzi si matumizi.