Ubabe hadi Canada? This time you're done

Duu lipeni madeni
 

Attachments

  • IMG_20191123_175204.jpg
    IMG_20191123_175204.jpg
    19.6 KB · Views: 1
Pole kwa Rais wa JMT kwa ndege yake kukamatwa.
Pole kwa Waziri Kabudi kwa TZ kusalitowa.
Pole kwa Waziri Mahiga kwa mateso kutuma vijana Canada
Pole kwa serikali yetu yote kwasababu ndege ni ya serikali.
Pole kwa CCM, kwasababu serikali ni ya CCM.
Pole kwa wanasheria watakaoteseka.
Pole kwa ATC ndege yao kukamatwa hivyo kuchelewesha kupiga pesa.
Pole kwa sisi Watanzania wote kwa ndege yetu kukamatwa na kututia hasara ambayo ni sisi tutaifidia.
Ndege ni rais Magufuli kwasababu ndiye aliyeamua kuinunua kwa cash money.
Ndege ni ya serikali kwasababu inamilikiwa na serikali 100%.
Ndege ni ya ATCL kwasababu ATCL ndio wanaitumia.
Ndege ni ya Sisi Watanzania wote kwasababu fedha zilizonunulia ni fedha zetu, na sisi ndio tunaoipanda.

Pole hata hawa Watanzania wenzetu wanaofurahia na kushangilia ndege yetu kukamatwa nao pia wataifidia hii hasara maana ndege pia ni yao bila kujijua.
Pole wote.
P
Ishauri serikali ilipe deni na kutatua mgogoro kwa njia sahihi, kukwepa tatizo kwa ujanja ujanja ni kuliongrza na si kulitatua..
 
Nilidhani naongea na mtu sensible kumbe ni hao wa ndio! Kwaheri!
Wewe ndio una kasoro kichwani. Unaanzaje kuchanganya siasa na maslahi ya taifa? Unajua hata hicho kisa cha huyo mzungu na historia yake ya kusaka pesa kwa ujanja ujanja? Jielimishe, usisombwe na upepo usioujua
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Wahenga walisema DAWA YA DENI KULIPA TU HAKUNA NAMNA NYINGINE.
 
Pascal Mayalla,
My brother Pascall, we were not happy coz of our plane being detained in South Africa, no no no, we were happy coz this awamu ya tano thinks that they are clever than even God himself, if you see a president who kills, orders 37 bullets to be pumped into an opposition MP, orders the military to buy korosho yet korosho is nowhere near things like rockets, sumarines or fighter jets.

A president who denies people right to express themselves, what else do you expect from the majority of those who such a dictator president is opressing? i can tell you pascal my brother for free, lots of us will be more than happy if God sends this person(you know who i am talking abaut) to hell fire where he RIGHTFULLY BELONGS, nice weekend bro
Hicho kinaitwa KISWANGLAND looohl!!!
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Kitendo cha serikali ya Magufuli kugoma kulipa hilo deni bila kufuata sheria ni kusababisha janga kwa Taifa. Mwishoni tunalipa deni, penalty na kudhalilika juu...propaganda hazitaondoa ukweli mchugu ya kuwa tunadaiwa
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Mkuu Pascal Mayalla siipendi ccm lakini kwenye mambo kama haya nipo pamoja na serikali yangu na hapa ndipo wapinzani wanakuwa wapingaji wa maendeleo yetu
1 Wafalme 3:24

Mfalme akasema, Nileteeni upanga. Wakaleta upanga mbele ya mfalme.

1 Wafalme 3:25




Mfalme akasema, Mkate mtoto aliye hai vipande viwili, kampe huyu nusu, na huyu nusu.

1 Wafalme 3:26

Ndipo mwanamke yule, ambaye mtoto aliye hai ni wake, akamwambia mfalme kwa maana moyoni mwake alimwonea mtoto wake huruma, akasema, Ee bwana wangu, mpe huyu mtoto aliye hai, wala usimwue kamwe. Lakini yule mwingine akasema, Asiwe wangu wala wako; na akatwe.

1 Wafalme 3:27

Ndipo mfalme akajibu, akasema, Mpe huyu wa kwanza mtoto aliye hai, maana yeye ndiye mama yake.
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P

Ndo tulipe, huu ndio uzalendo wetu
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Kwanini Ushindi wa 99.9 hau reflect umoja wa kitaifa?

Tukivamiwa hata na burundi tunaweza kuchezea kichapo heavy!!
 
Back
Top Bottom