Ubabe hadi Canada? This time you're done

What a shithole Pascal? Mnyonge anyongwe kwa maslahi ya nchi? Afe ndege ije au alipwe ndege ije? Shwain!
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
 
Mnataka tuwe wazalendo hadi kwenye dhuluma?

Yaani mnalia mkiomba sympathy kwa sababu ya tabia zenu za kutotii utawala wa sheria?

Kumbe tabia haina dawa, mmezoea kuonea Wapinzani na kuwafanyia kila aina ya ubabe, sasa mmelewa na kudhani kila mtu ni wa kuonea tu, safari hii mmekwama kabisa .

Tatizo liko wapi? Kiburi cha kugoma kufuata utawala wa sheria tu? Nyie si mnadaiwa bana? Lipeni deni no way!

Serikali ya awamu ya kwanza hadi ya nne zote zilikuwa zikilipa hilo deni kwa awamu, serikali hii ya awamu ya tano ikagoma kulipa na kumtimua Stern Tanzania.

Hii maana yake ni kwamba Stern angekuwa raia wa Tanzania asiye na uwezo wa kukimbilia popote na kujihifadhi angepotea kama Azory Gwanda au Ben Saanane.

Kwa hiyo mmeonewa sana si ndiyo? Yaani hilo deni mmebambikwa tu na watu wenye wivu na maendeleo makubwa ya Tanzania, si ndiyo?

Acheni kulidhalilisha taifa zuri la Tanzania, mbona hata Marekani inadaiwa pamoja na utajiri wake? Nyie ni nani hadi msidaiwe?

Yaani mnaandamana ili kupinga kudaiwa? Kwa sababu mmepanga kudhulumu, mkiitwa shithole mnakuja juu kwa hasira.

South Africa mliweza kucheza sarakasi lakini kwa Canada mmekwama, lipeni deni la watu mtutolee hii fedheha.

Uzalendo sio kudhulumu haki ya mtu.


Unaropoka tu, hujui hata ulichoandika ni vema ukakaa kimya
 
Msipolipa madeni Mali za Tz zilizoko nje ya mipaka zitakamatwa kupitia mahakama za huko ziliko, kama njia ya kukazia madai. Pole sana.
Wametumia ground ipi ya kisheria kuikamata Ndege yetu.
Mwezi uliopita Zitto Kabwe alikuwa Africa kusini alipitia Burundi kwenda kushawishi ndege yetu Watanzania ikamatwe eti awe na Nguvu kisiasa kwa Kushirikiana na akina Marem.
Ameshindwa mchezo wa kuisaidia nchi yake ya BRD kwa kutaka Kigoma iwe dhaifu kuliko kwao. Endelea Zitto na Genge lako
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Umoja wa kumdhulumu mkulima?

Ukweli ni lazima usemwe,rais anaiaibisha nchi kwa kukataa kulipa madeni ya watu hadi ndege zetu zinashikiliwa.
 
Ndiyo Kwa manunuzi ya vitu vikubwa!
Your family is among the lucky ones, watoto wanakuwa consulted kabla ya manunuzi makubwa, many of us were not so lucky, na mimi sasa ni baba ndani ya familia yangu, very unfortunately I don't consult watoto wetu katika manunuzi makubwa, namconsult only mama yao na sio kwenye kila kitu.
P
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Nisahihi ,sasa Tue kwenye umoja UPI?,Tue kwenye kulipa au Tue kwenye kutokulipa!!!!!,ili ndege irusiwe au mnadhani tukiungana ndomahakama kule itaogopa kwamba watz wameungana wanakuja kutupiga!!!!!!!!tuachie ndege iende
 
Mkuu Pascal Mayalla siipendi ccm lakini kwenye mambo kama haya nipo pamoja na serikali yangu na hapa ndipo wapinzani wanakuwa wapingaji wa maendeleo
1 Wafalme 3:24
Mfalme akasema, Nileteeni upanga. Wakaleta upanga mbele ya mfalme.

1 Wafalme 3:25
Mfalme akasema, Mkate mtoto aliye hai vipande viwili, kampe huyu nusu, na huyu nusu.

1 Wafalme 3:26
Ndipo mwanamke yule, ambaye mtoto aliye hai ni wake, akamwambia mfalme kwa maana moyoni mwake alimwonea mtoto wake huruma, akasema, Ee bwana wangu, mpe huyu mtoto aliye hai, wala usimwue kamwe. Lakini yule mwingine akasema, Asiwe wangu wala wako; na akatwe.

1 Wafalme 3:27
Ndipo mfalme akajibu, akasema, Mpe huyu wa kwanza mtoto aliye hai, maana yeye ndiye mama yake.
Naunga mkono hoja, kitu kama hiki nami nilijisema
P
 
Sure
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
 
Mnataka tuwe wazalendo hadi kwenye dhuluma?

Yaani mnalia mkiomba sympathy kwa sababu ya tabia zenu za kutotii utawala wa sheria?

Kumbe tabia haina dawa, mmezoea kuonea Wapinzani na kuwafanyia kila aina ya ubabe, sasa mmelewa na kudhani kila mtu ni wa kuonea tu, safari hii mmekwama kabisa .

Tatizo liko wapi? Kiburi cha kugoma kufuata utawala wa sheria tu? Nyie si mnadaiwa bana? Lipeni deni no way!

Serikali ya awamu ya kwanza hadi ya nne zote zilikuwa zikilipa hilo deni kwa awamu, serikali hii ya awamu ya tano ikagoma kulipa na kumtimua Stern Tanzania.

Hii maana yake ni kwamba Stern angekuwa raia wa Tanzania asiye na uwezo wa kukimbilia popote na kujihifadhi angepotea kama Azory Gwanda au Ben Saanane.

Kwa hiyo mmeonewa sana si ndiyo? Yaani hilo deni mmebambikwa tu na watu wenye wivu na maendeleo makubwa ya Tanzania, si ndiyo?

Acheni kulidhalilisha taifa zuri la Tanzania, mbona hata Marekani inadaiwa pamoja na utajiri wake? Nyie ni nani hadi msidaiwe?

Yaani mnaandamana ili kupinga kudaiwa? Kwa sababu mmepanga kudhulumu, mkiitwa shithole mnakuja juu kwa hasira.

South Africa mliweza kucheza sarakasi lakini kwa Canada mmekwama, lipeni deni la watu mtutolee hii fedheha.

Uzalendo sio kudhulumu haki ya mtu.
Mtazamo huu ni wa ajabu sana.Haijalishi kabisa kwamba tunanaidaiwa na haijalishi kabisa kwamba serikali ya awamu ya tano imezembea kulipa deni mkuu My Son Drink Water.Katika hili,Watanzania wote letu linatakiwa kuwa moja.Inashangaza sana Mtanzania mwenzetu kushabikia janga kama hili.Something must be seriously wrong with you.
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Uzalendo hautakuwepo kama mkubwa aliamua kubaguana ndani ya nchi
 
Mtazamo huu ni wa ajabu sana.Haijalishi kabisa kwamba tunanaidaiwa na haijalishi kabisa kwamba serikali ya awamu ya tano imezembea kulipa deni mkuu My Son Drink Water.Katika hili,Watanzania wote letu linatakiwa kuwa moja.Inashangaza sana Mtanzania mwenzetu kushabikia janga kama hili.Something must be seriously wrong with you.
Pale ndege inapokuwa imenunuliwa hotuba za kusifia zote huenda kwa JPM na sera 'nzuri' za CCM. Nadhani hata hili janga la kukamatwa ndenge kwa sababu ya kumdhulumu Boer(mkulima) Stern si la taifa zima, linawahusu hao hao.
Swali, je hatuna pesa ya kulipa deni? Kama pesa ipo tatizo ni nini?
Naanza kuwaelewa wale wanaosema haja yetu(priority) huwa si ndege au kujenga Airline ya Taifa ukizingatia linaendeshwa kwa hasara bali 'muhimu' hapa huwa ni ile ten percent wanayokula 'manyapara' wa nchi kwenye manunuzi ya hizo ndege.
 
Pale ndege inapokuwa imenunuliwa hotuba za kusifia zote huenda kwa JPM na sera 'nzuri' za CCM. Nadhani hata hili janga la kukamatwa ndenge kwa sababu ya kumdhulumu Boer(mkulima) Stern si la taifa zima, linawahusu hao hao.
Swali, je hatuna pesa ya kulipa deni? Kama pesa ipo tatizo ni nini?
Naanza kuwaelewa wale wanaosema haja yetu(priority) huwa si ndege au kujenga Airline ya Taifa ukizingatia linaendeshwa kwa hasara bali 'muhimu' hapa huwa ni ile ten percent wanayokula 'manyapara' wa nchi kwenye manunuzi ya hizo ndege.
Haya ni mawazo yale yale ya kuendelea kupakana matope kwa nia ovu kabisa ya kumfanya JPM aonekane kwamba si chochote wala lolote na kwamba yote anayofanya ni batili. Kama wewe kweli huna nia ovu na una nia njema na nchi yetu, tuwekee hapa ushahidi wa waliochukua 10%.Otherwise uliyosema yote yatakuwa udaku and character assassination.
 
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako


P
Pascal upo sahihi. Lkn ili kuondoa mgogoro wa namna hii ni heri kulipa hilo deni kama kweli tunadaiwa. Dawa ya deni ni kulipa, kinyume na hapo ni dhulma
 
Haya ni mawazo yale yale ya kuendelea kupakana matope kwa nia ovu kabisa ya kumfanya JPM aonekane kwamba si chochote wala lolote na kwamba yote anayofanya ni batili. Kama wewe kweli huna nia ovu na una nia njema na nchi yetu, tuwekee hapa ushahidi wa waliochukua 10%.Otherwise uliyosema yote yatakuwa udaku and character assassination.
Don't act naive, ten percent is a norm.
Na ya kusemena hajafanya chochote hiyo imeisema wewe, rudia kusoma nilivyoandika.
Hapakwi matope bali anajipaka mwenyewe, we just listing, analysing and clarifying his evils.
 
Back
Top Bottom