Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,345
- 21,243
Wanasiasa wengi makini si wazungumzaji sana!!
El ni mwanasiasa mzur ila Dr Magufuri ni mtendaji mzuri.
Wanasiasa wengi makini si wazungumzaji sana!!
Matendo ya kifisadi?
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.
kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.
Uwezo wa kuiteka hadhira ni F kabisa.....asipobebwa na wajuzi wa hoja.....EL atakuwa kituko kipindi cha kampeni
Hata kama angetoa hotuba nzuri sana lakini kama unajicho la kinafiki na masikio kama nguruwe hutaisema ni nzuri kwani umekaa kwa ajili ya kutoa kasoro tu.
Tumesikiliza hotuba nyingi nzuri tamu sana na za kupendeza masikioni kwa miaka zaidi ya 50 sasa hongereni kwa hotuba zenu zimetupa mambo mengi sana ikiwemo kufa kwa viwanda vya ndani(e.g general tyre),sakata la rada, ndege ya rais, epa, escrow, richmond bila kusahau maisha bora kwa kila mtanzania na tunasema asanteni ni muda wakusema bye bye hotuba nzuri all we want is CHANGE period.
Rais wetu huwa anatumia saa zima kuongea ila point ni dk 5 nyingine porojo tu, El dk 10 zote point
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.
kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.