Uanasiasa wa Lowasa ni mashaka matupu.

Uanasiasa wa Lowasa ni mashaka matupu.

Ukawa ni mchakamcham tuuu, afuuuu unaitikia chinjaaa..... Hutaki nenda lumumbaa
 
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.

kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.

Pole zuzu,umezoea kulishwa uongo,umbea,vijembe na ghilba za akina JK na umemzoea Magufuli anayetumia dk.30 kumsifia Kikwete...kaa ukisubiri hotuba,actions speak louder than words!
 
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.

kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.

Mbona wako wengi! Ulitaka aongee nn. Turudi kwetu tuokoe....
 
Ni kweli kaka umenena. Jamii kimsingi hana uwezo wala nguvu za kuongea zaidi ya kubebwa na pesa na wapambe
Kazi tunayo kweli
 
Alitaka kutupeleka vitani na Malawi kwa kusema jeshi liko tayari wakati anayetakiwa kuamrisha majeshi ni Rais, huyu jamaa hata akiri hana kabisa, waziri wa mambo ya nje yuko, mkuu Wa majeshi yupo, rais yupo ila yeye akaona alisemee jeshi ..sijuhi kama nani? sisi tunaoratibu uwezo wa kuongoza tunamwona huyu jamaa hazimo kabisa, ni mrafi na hana busara katika umri wake eti anahama chama, unajiuliza miaka yote hiyo alingoja nini mpakabanakuwa mzee? mbona tunaambiwa wazee wana busara yeye kapeleka wapi? mbona wazee wenzie waliokatwa wametulia na wamejiheshimu na kuheshimu busara zao, huyu jamaa hafai hata kwa ujirani mwema

Akiri=Akili
Mrafi =Mlafi.
Banakuwa=Anakuwa

Mkuu hapo umejichanganya. Lowassa angewezaje kuingiza nchi vitani wakati mwenyewe unakiri raisi ndiye mwenye uwezo huo? Ni kweli hujui kwa nini alisema jeshi liko tayari wakati ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi? Ulitaka aseme jeshi liko usingizini? Kusema jeshi liko tayari ni kutangaza vita?

Hivi huwa kuna umri uliowekwa na katiba ya nchi kuhama chama kimoja na kwenda kingine. Unaposema Lowassa alingoja nini mpaka anakuwa mzee ndio anahama kwani uamuzi wa kuhama chama hujui kuwa ni wa mwanachama mwenyewe? Kwamba alisubiri nini hilo linakuhusu nini wewe? Kwani amekuambia uhame na wewe? Halafu kumbe hamjui kuwa wazee wana busara mpaka muambiwe kama unavyosema?

Hao unaowaita wazee wenzake waliokatwa kwamba wametulia ni kweli wametulia kwa sababu hawana ujasiri wa kusema kile wanachokiamini. Mzee Kingunge alikuwa jasiri na sio mwoga wa kusema kile anachokiamini. Unapokuwa hutendewi haki hata kama kuna wengine milioni moja hawatendewi haki kama wewe, na wameamua kukaa kimya, wewe mmoja unaweza kuendelea kudai hiyo haki bila kusubiri kuungwa mkona na hao milioni. Sawa mkuu?
 
Bora umenisaidia katika hili, yaani sio sio siri ni hewa tupu. Nilikuwa na wana ukawa hapa tunasubiri kwa hamu hotuba ya bwana mkubwa, wameishia kuona aibu tu. Washaanza kukata tamaa kuwa jamaa atachuja ndani ya muda mfupi SANA BORA MARA MIA YA Mrema. Wameiunga mkono CCM kumkata, na wako wanajuta kumpoteza slaa mtu mwenye convincing power na afya imara. Kwakweli kama kuna anaweza kushawishiwa na Lowassa, atakuwa na matatizo ya msingi, tuseme ukweli tu.

Siku zote kitu kibaya ndicho hushabikiwa sanaaaaa na walio wengi. Hata shetani ana wafuasi wengi sana ktk hali ya kawaida, hebu chukulia mfano tu wapi watu wengi huvutika kwenda kati ya kanisani/msikitini dhidi ya kumbi za disko, vilabu vya pombe na sehemu zenye kufanana na hizo. Hapa jibu ni wazi kwamba sehemu za ibada hupata watu wachache ukilinganisha na sehemu za shetani.
Huu ndo mfano tunaouona leo hii. Ukiwauliza wanaomuunga mkono Lowasa kuwa ana nini ukimlinganisha na Magufuli, kiukweli hawana majibu. Jibu lao moja eti ana maamuzi magumu! Maamuzi gani magumu! hawajui. Kichekesho kweli
 
sijaelewa kwa iyo unasema anaongea dk 10 ila pesa inambeba inamaana muda mwingi anagawa izo pesa zake?
 
Wanasiasa wengi makini si wazungumzaji sana!!

Tupe mfano!Kushndwa kwake kuna tafsiri hajui analotaka kufanya.Uwezo mzuri wa kuwasiliana ni moja ya sifa za msingi kabisa kwa mwanasiasa.Clinton,Blaır,Oboma,Bush,Nyerere,Mandera,Mugabe,Zuma n.k.kwa kizazi walikuwa mahodari wa kuongea.
 
Rais wetu huwa anatumia saa zima kuongea ila point ni dk 5 nyingine porojo tu, El dk 10 zote point

Ebu tuambie point gani kaongea leo?Labda Duni.El ni aibu, hata akiwa rais, hana uwezo kabisa wa kujieleza.
 
Hivi wewe mleta Uzi huu ni primitive kiasi gani? Umewahi kutoa hotuba IPI? Ulisikilizwa Na nani? Ilileta impact gani?

Thread tu hii umeileta fyongo mbona ss tumekuvumilia! Jifunze kujiheshimu
 
Bora umenisaidia katika hili, yaani sio sio siri ni hewa tupu. Nilikuwa na wana ukawa hapa tunasubiri kwa hamu hotuba ya bwana mkubwa, wameishia kuona aibu tu. Washaanza kukata tamaa kuwa jamaa atachuja ndani ya muda mfupi SANA BORA MARA MIA YA Mrema. Wameiunga mkono CCM kumkata, na wako wanajuta kumpoteza slaa mtu mwenye convincing power na afya imara. Kwakweli kama kuna anaweza kushawishiwa na Lowassa, atakuwa na matatizo ya msingi, tuseme ukweli tu.

Huwa nafurahi watu wakijivua ufahamu!
 
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.

kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.

Jambo la kujiuliza ni hili :-

"Kwanini hajawai toa hotuba ya maana?"

Jibu :- " ni kwasababu hajawai fanya jambo la maana"
 
Bora umenisaidia katika hili, yaani sio sio siri ni hewa tupu. Nilikuwa na wana ukawa hapa tunasubiri kwa hamu hotuba ya bwana mkubwa, wameishia kuona aibu tu. Washaanza kukata tamaa kuwa jamaa atachuja ndani ya muda mfupi SANA BORA MARA MIA YA Mrema. Wameiunga mkono CCM kumkata, na wako wanajuta kumpoteza slaa mtu mwenye convincing power na afya imara. Kwakweli kama kuna anaweza kushawishiwa na Lowassa, atakuwa na matatizo ya msingi, tuseme ukweli tu.

Mkuu shetani hawezi kuwa MALAIKA pale mwembe yanga padre dr. peter slaa alituambia kwa moyo mkunjufu kuwa EL ni shetani wa uchumi wa Tanzania (fisadi ) leo hii ni vipi shetani kawa malaika? HAPO PIGA UWA GALAGAZA PREZDAA NI MAGUFULI TU CCM ili mtema kwa sababu ya ushatani wake ambao hata CHADEMA WALIUSEMA MWANZO KABISA AKIWA CCM LEO HII VIPI TENA CHADEMA HAOHAO WATUAMBIE EL NI MTU SAFIII?????? MAANAA YAKE NI KWAMBA WANATUFANYA TZ NI MATAAHIRA WA AKILI WASUBIRI 25/10 WATAJUA PUMBA NA MCHELE NI NINI NA MALIMBUKENI WAENDELEE KUMUUNGA MKONO MWIZI MWENZAO.
 
Akiri=Akili
Mrafi =Mlafi.
Banakuwa=Anakuwa

Mkuu hapo umejichanganya. Lowassa angewezaje kuingiza nchi vitani wakati mwenyewe unakiri raisi ndiye mwenye uwezo huo? Ni kweli hujui kwa nini alisema jeshi liko tayari wakati ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi? Ulitaka aseme jeshi liko usingizini? Kusema jeshi liko tayari ni kutangaza vita?

Hivi huwa kuna umri uliowekwa na katiba ya nchi kuhama chama kimoja na kwenda kingine. Unaposema Lowassa alingoja nini mpaka anakuwa mzee ndio anahama kwani uamuzi wa kuhama chama hujui kuwa ni wa mwanachama mwenyewe? Kwamba alisubiri nini hilo linakuhusu nini wewe? Kwani amekuambia uhame na wewe? Halafu kumbe hamjui kuwa wazee wana busara mpaka muambiwe kama unavyosema?

Hao unaowaita wazee wenzake waliokatwa kwamba wametulia ni kweli wametulia kwa sababu hawana ujasiri wa kusema kile wanachokiamini. Mzee Kingunge alikuwa jasiri na sio mwoga wa kusema kile anachokiamini. Unapokuwa hutendewi haki hata kama kuna wengine milioni moja hawatendewi haki kama wewe, na wameamua kukaa kimya, wewe mmoja unaweza kuendelea kudai hiyo haki bila kusubiri kuungwa mkona na hao milioni. Sawa mkuu?
,
Punguza utoto mzee nafasi ilikuwa moja wagombea 38 ina maana yeye alikuwa na haki kuliko hao wengine 37??? kama ni hivyo pasingekuwa na mchakato bali angeteuliwa yeye tu yakaisha usiburuzwe mkuu tuliza akili tafakari ni afadhali shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua CHAGUA MAGUFULI FORGET ABOUT EL
 
Back
Top Bottom