Uanasiasa wa Lowasa ni mashaka matupu.

Uanasiasa wa Lowasa ni mashaka matupu.

Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu...
Kama unapenda hotuba, zipo nyingi tu za Nyerere kwenye youtube, just your internet bundle. Lowassa ni kazi tu, wala hakuhitaji hotuba kuvunja mkataba wa kinyonyaji wa City Water, na wala hakuhitaji hotuba kusimamia ujenzi wa shule za kata, na wala hakuhitaji hotuba kuwaamuru wakuu wa wilaya nchi nzima kuchongesha madawati katika shule za maeneo yao. Endelea kusubiri hotuba!
 
Bora umenisaidia katika hili, yaani sio sio siri ni hewa tupu. Nilikuwa na wana ukawa hapa tunasubiri kwa hamu hotuba ya bwana mkubwa, wameishia kuona aibu tu. Washaanza kukata tamaa kuwa jamaa atachuja ndani ya muda mfupi SANA BORA MARA MIA YA Mrema. Wameiunga mkono CCM kumkata, na wako wanajuta kumpoteza slaa mtu mwenye convincing power na afya imara. Kwakweli kama kuna anaweza kushawishiwa na Lowassa Du jamaa una roho ngumu sana!
 
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.

kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.

Hotuba kama za Kikwete? Zimetusaidia nini?
 
Hata asimsmishwe shetani ukawa itamchagua kuliko ccm this time tunawazika kaburi lishachimbwa tayari dodoma .

mkosafedha unaongea ambayo nawaza nafsini mwangu. Hata liwekwe jiwe chini ya UKAWA ntalipigia kura kuliko chama kijani
 
Last edited by a moderator:
Nikweli Mkuu, huu ni wizi wa Richard uliofanyika zama zile leo twamuona mkombozi kumbe anatafuta kututafuna zaidi. Akiwa Raisi lazima tufe kwani cha kwanza lazima arudishe fedha zake za kuinunua Chamijata then kuwalipa waliomnunua wa majuu. Ndugu zangu tufuatilie hata hotuba za baba wa Taifa, mtu aneye wanunua wananchi juwa amenunuliwa na atatakiwa kulipa fadhira. Naishia hapo
 
Mchaka mchaka.......nauchukia umaskini kama ukoma....watatuwezaaa..........tutaingia ikulu tar 25 asubuhi...hayo ndo maneno anayoweza kuongea
 
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.

kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.

Umeanza kufuatilia siasa siku za karibuni.
 
Kila mwisho wa mwezi huwa unamsikia bingwa wa hotuba nzuri, niambie zimekufaa nin hizo hotuba nzuri?!
 
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.

kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.

Sasa ww ndio mashaka zaidi, Lowassa ni mtu wa vitendo na sio kuchekacheka, sasa nilidhani wewe unayependa maneno ngeandika kurasa mbili tatu!!, umeandika mistari miwili nimeisoma kwa sekunde tano baasi, hoja iko wapi?

Mwaka huu mtameza wembe
 
Mchaka mchaka.......nauchukia umaskini kama ukoma....watatuwezaaa..........tutaingia ikulu tar 25 asubuhi...hayo ndo maneno anayoweza kuongea

Asubuhi kweupeee teh teh, sikujua kama jamaa hajui kuongea kiasi hiki, Magufuli sio mzuri sana kwenye hotuba but anaunafuu mkubwa ukilinganisha na Lowasa
 
kiongozi wa kweli husifiwa kwa kazi na uwajibikaji wake.

hayo mengine hayana uzito.
 
Mchaka mchaka.......nauchukia umaskini kama ukoma....watatuwezaaa..........tutaingia ikulu tar 25 asubuhi...hayo ndo maneno anayoweza kuongea

Unazungumziaji Leo Lowassa alivyo mchana kikwete kwa kuua uchumi wa nchi?
 
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.

kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.

Ebu nikuulize kidogo hivi kwa Rais kuwa bora kinachofuatiliwa kwa makini ni hotuba zake au Utekelazi wake wa majukum ya kuisaidia nchi yake kama rais? Vipi kuhusu Kikwete na Mkapa ni nani alikuwa na hotuba za umakini na yupi alikuwa na hotuba za maneno mengi ya kufurahisha na vipi kati ya hawa ukipima utekelezaji wa majukumu yao kama Rais kwa nchi?
 
Bora umenisaidia katika hili, yaani sio sio siri ni hewa tupu. Nilikuwa na wana ukawa hapa tunasubiri kwa hamu hotuba ya bwana mkubwa, wameishia kuona aibu tu. Washaanza kukata tamaa kuwa jamaa atachuja ndani ya muda mfupi SANA BORA MARA MIA YA Mrema. Wameiunga mkono CCM kumkata, na wako wanajuta kumpoteza slaa mtu mwenye convincing power na afya imara. Kwakweli kama kuna anaweza kushawishiwa na Lowassa, atakuwa na matatizo ya msingi, tuseme ukweli tu.

kinachohitajika ni utendaji tu... siku zote siasa ikimpata mtendaji na sio msemaji nchi husimama vizuri katika sekta zote. angalia historia ya china na ujerumani.... tanta lanta na maneno ya kanga sio issue katika new era ya mabadiliko tanzania.

Kama umekulia CCM HAUTAELEWA KAMWE
 
Katika hali ya kushangaza katika ukongwe wake katika siasa Lowasa sijawahi kuona akito hotuba ya maana hata moja kwa mda unaozidi hata dakika kumi tu.

kwa kiasi kikubwa Lowasa amekuwa mwanasiasa wa kubebwa na pesa sijui kama angekuwa hajaiba pesa za watanzania na kuzifanya zake angebebwa na kitu gai.

Hivi leo hii ndo imethibitika ameiba?
 
Back
Top Bottom