comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,947
Tumekuwa na viongozi wa ajabu sana wanaofanya maamuzi kwa mihemuko. RC na viongozi wa jiji Mwanza wameafukuza kazi mgambo waliopigwa picha wakichukua ndizi za mmachinga toka kwenye toroli lake na kuziweka kwenye gari la jiji.
Nina hakika na ninakumbuka wamachinga wamekatazwa kutofanya biashara katika maeneo yasioruhusiwa na watekelezaji wa amri hiyo ni mgambo. Sasa kama mgambo waliokuwa wanatekeleza amri halali- kosa lao ni lipi mpaka wastahili kufukuzwa kazi?
Tuwafanye nini sasa waliowatoa machinga pale Makoroboi na sehemu zingine?
Nawashauri mgambo hao wafungue kesi ya kufukuzwa kazi kwa uonevu
Nina hakika na ninakumbuka wamachinga wamekatazwa kutofanya biashara katika maeneo yasioruhusiwa na watekelezaji wa amri hiyo ni mgambo. Sasa kama mgambo waliokuwa wanatekeleza amri halali- kosa lao ni lipi mpaka wastahili kufukuzwa kazi?
Tuwafanye nini sasa waliowatoa machinga pale Makoroboi na sehemu zingine?
Nawashauri mgambo hao wafungue kesi ya kufukuzwa kazi kwa uonevu