EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
UPDATE.
Nime happen kukutana na mjumbe mmoja wa CC ya Chadema asubuhi hii, amenifafanulia A-Z ya kilichotokea. Chadema walifanya kila waliloweza ili kuwarudisha kwenye mstari lakini ilishindikana. Hao madiwani walizidi kuitunishia misuli CC ya Chadema, hivyo Chadema kama chama, was left with no option bali kuwatimua.
However, kwa vile Mhe. Lema ni major player on one side, na madiwani on the other, sasa na tusubiri jinsi CC ya Chadema, itakavyomshughulikia, na kwa vile yeye ni mjumbe wa CC hiyo ya Chadema, tutawaomba Chadema, wasilimalize suala lake ndani kwa ndani bila kutoa taarifa kwa umma, ili kupusha dhana ya double standards.
Sasa naanza kuwaelewa Chadema kidogo kidogo.
Pasco
Mkuu as a political commentator kama unavyojiita mwenyewe inabidi uwe na facts at hands kabla ya kutoa opnions zako. Inaonyesha you were not well informed on what exactly happened.