Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,917
Kuna wanaosema Yesu ni Mungu, na wapo wanaosema Allah ni Mungu. Pia kuna wengine wanaosema kwamba Yehova ni Mungu.
Je tunaweza kuwa na miungu watatu na wakawa na nguvu moja?
Je nini uhusiano uliopo kati ya watatu haWa?
Mimi naona hawa ndio chanzo cha ukosefu wa amani duniani.
Je tunaweza kuwa na miungu watatu na wakawa na nguvu moja?
Je nini uhusiano uliopo kati ya watatu haWa?
Mimi naona hawa ndio chanzo cha ukosefu wa amani duniani.