klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Khaaaa! sasa tunachangia nini? au pampers za mtarajiwa?kadi zimeisha ila michango bado inapokelewa.lol
schangii lolote na kunishtaki hamuwezi
Khaaaa! sasa tunachangia nini? au pampers za mtarajiwa?kadi zimeisha ila michango bado inapokelewa.lol
Khaaaa! sasa tunachangia nini? au pampers za mtarajiwa?
schangii lolote na kunishtaki hamuwezi
Sikuombei mabaya,naomba mdumu milele na judgement, amini ninachosema kinatoka moyoni kabisa, yaani mapenzi ya siku hizi hayana zamana si unajua.hahahaha! Na ulivyo mbahili. Changia pampes za kijacho. Lol
Sikuombei mabaya,naomba mdumu milele na judgement, amini ninachosema kinatoka moyoni kabisa, yaani mapenzi ya siku hizi hayana zamana si unajua.
kama hayo unayaelewa basi Just in case ukiachika, usiku huo huo wa kuachika njoo straight na virago vyako vyote kwangu ispokuwa mawigi, nina ma album kibao ya nyimbo za kihindi za kubembelezea.
hahahahaha! Nimecheka kwa laudi spika. Kwahiyo mawigi yangu nitamwachia nani? Lol.
Mpelekee hashycool anafanya biashara ya kupeleka mawigi used nigeria
na wewe nikija huko nisikute desh desh (umejua eeh)?
Heheheeh huku hautokuta chochote utakuta vipicha picha vya kukukaribisha tu halaf nitalia kiunafiki kama dakika 2 ivi, nikinyamaza .............. (hizo dots nimeshindwa kuandika kwa huzuni ya sku hiyo itakavyokuwa)
Kama skuonesha huzuni hautohisi nilikuombea uachike? manake hapa naleta hizi stori za kuhuzunika ili nionekani siiombei talaka itokee tu ukirizia mwenyewe hatokwi na chozi mpumbavu yoyote apa, si alikuacha mwenyewe bana sasa mi nahusikaje hata nilie? umetoa wazo zuri sana husny. Ubarikiwe ukiachikammmh jamani! Huzuni tena? Sio kwamba tutacheza kuch kuch hotae hadi asubuh? Lol
Kama skuonesha huzuni hautohisi nilikuombea uachike? manake hapa naleta hizi stori za kuhuzunika ili nionekani siiombei talaka itokee tu ukirizia mwenyewe hatokwi na chozi mpumbavu yoyote apa, si alikuacha mwenyewe bana sasa mi nahusikaje hata nilie? umetoa wazo zuri sana husny. Ubarikiwe ukiachika
khaaa! Halafu leo umeng'ang'ania chit chat. Hebu twende zetu mmu.
Kama skuonesha huzuni hautohisi nilikuombea uachike? manake hapa naleta hizi stori za kuhuzunika ili nionekani siiombei talaka itokee tu ukirizia mwenyewe hatokwi na chozi mpumbavu yoyote apa, si alikuacha mwenyewe bana sasa mi nahusikaje hata nilie? umetoa wazo zuri sana husny. Ubarikiwe ukiachika
Kama skuonesha huzuni hautohisi nilikuombea uachike? manake hapa naleta hizi stori za kuhuzunika ili nionekani siiombei talaka itokee tu ukirizia mwenyewe hatokwi na chozi mpumbavu yoyote apa, si alikuacha mwenyewe bana sasa mi nahusikaje hata nilie? umetoa wazo zuri sana husny. Ubarikiwe ukiachika
Judgementklorokwini mbona unanletea uchuro ?
Umechoka kuvaa jeans mukubwa? Maanake sie watu wa pwani ! Hamtukawizagi mtu aanze kubadili misuli, na trousers zote zikawa tupa kulee!
katika ulimwengu huu wa sasa mwanaume aliyekamilika amekuwa ni bidhaa adimu sana kupatikana, wewe mtoto wa kike umejiandaaje na ushindani huu ili kuhakikisha unaipata bidhaa hii adimu sana, hasa katika ulimwengu huu wa haki sawa kwa wote' jipande'
Judgement
Mkuu hapa natania kishemeji shemeji tu, wala usihofu, bibi wako tena wako pekeako hakyanani tena