Twitter kutoka kuwa mtandao wenye heshima mpaka kuwa mtandao wa ngono

Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Hii ni kweli, lakini Twitter imepunguza sana moderation, hususan baada ya Elon Musk kuinunua. Kafukuza kazi watu wengi sana, wakiamo content moderators wengi, halafu ana falsafa za uhuru sana, free speech inayoruhusu mambo mengi ambayo wengine wangeona yachujwe.

Kwa hiyo inawezekana wote wawili, wewe na mtoa maada, mkawa mnasema kweli.

There is no contradiction.

1. Kwenye Twitter unapelekwa kwenye vitu unavyoangalia, kwa algorithm.

2. Moderation ya Twitter imepungua sanana kuongeza vitu kama porn, kwa sababu watu wengi waliokuwa wanafanya moderation wamefukuzwa kazi na Elon Musk, na Elon Musk ni muumini wa free speech, kwa hivyo, porn kuongezeka inafanya hata wale ambao hawakufuatilia wanaona na algorithm inawapeleka huko zaidi.

3.You and the original poster have no contradiction, the two things you are stating are not mutually exclusive.

Mimi hata sikai sana Twitter, lakini network ya Watanzania inanionesha tweets za "watoto wameshalala saa hizi" na ujinga mwingine kama huo.
 
Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.

Nitapingana na ww kwenye hili, hizi algorithm huwa zileta hizo pages when uki follow watu flani ambao wame follow hizo page.
Binafsi i had to block hizo pages
 
Ukiachana na hii hoja ya mtoa mada, Kuna ile unasoma comments unakuta raia zimepost ngono humo kwenye comments, mara wanatangazA malaya, wanauza papa and etc. Hii inakera ofcoz nahis Twitter wangeweka hizi limitations ingesaidia sana.
Wengine tumeacha kuchek pono kwa nguvu yani Kublock adult sites, kufuta telegram, Instagram, WhatsApp groups, and other sources tukabaki na twitter, naona mda wa ku uninstall Twitter umefika pia

Wana hiyo settings ambayo ina ku restrict kuona picha chafu
 
Binafsi nilijiunga Twitter 2009, kipindi hicho ni mwendo wa internet cafe tu. Kati ya social media platform zilizoanzishwa miaka hiyo basi Twitter ilikuwa tulivu na ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals na baadhi ya watu tunaojielewa kiufupi ilikuwa na hoja nyingi za msingi kama ilivyo JF. Binafsi nilikuwa naikubali sana Twitter kwa information za ukweli na kuaminika.

Upepo umechange sana maana sasa hivi imekuwa na uchafu usiovumilika, koneksheni zimekuwa nyingi huko Twitter mpaka kero. Sijui inakuwa vipi Twitter inakosa restrictions katika suala hilo. Binafsi naona ni agenda za uchuro zinazoendelea kupitia Twitter maana kuna utofauti gani kati ya porn sites na Twitter sasa?

Binafsi sijafollow page za kijinga lakini zinadisplay sana kwenye Twitter yangu. Ninaipenda sana Twitter, siwezi iacha, ila hii issue kiukweli inanidhoofisha sana.

Sijui nyie wadau huko Twitter mnapaonaje? Mbona other social media haziruhusu post zenye maudhui ya ngono moja kwa moja? Je, ni ujio wa Elon Musk ndio umeleta haya mabadiliko? Je, ni dunia ndio ilikofika? Wadau mnalionajushamba
Acha ushamba kama wewe hupendi ngono nenda kwenye mitandao ya mahubiri Twitter waachie wapenda ngono unang'ang'ania ya nini unakera sana
 
Binafsi nilijiunga Twitter 2009, kipindi hicho ni mwendo wa internet cafe tu. Kati ya social media platform zilizoanzishwa miaka hiyo basi Twitter ilikuwa tulivu na ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals na baadhi ya watu tunaojielewa kiufupi ilikuwa na hoja nyingi za msingi kama ilivyo JF. Binafsi nilikuwa naikubali sana Twitter kwa information za ukweli na kuaminika.

Upepo umechange sana maana sasa hivi imekuwa na uchafu usiovumilika, koneksheni zimekuwa nyingi huko Twitter mpaka kero. Sijui inakuwa vipi Twitter inakosa restrictions katika suala hilo. Binafsi naona ni agenda za uchuro zinazoendelea kupitia Twitter maana kuna utofauti gani kati ya porn sites na Twitter sasa?

Binafsi sijafollow page za kijinga lakini zinadisplay sana kwenye Twitter yangu. Ninaipenda sana Twitter, siwezi iacha, ila hii issue kiukweli inanidhoofisha sana.

Sijui nyie wadau huko Twitter mnapaonaje? Mbona other social media haziruhusu post zenye maudhui ya ngono moja kwa moja? Je, ni ujio wa Elon Musk ndio umeleta haya mabadiliko? Je, ni dunia ndio ilikofika? Wadau mnalionaje hili?
"ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals" DUH HAYA BWANA
 
Hata muziki wa Tanzania ulikuwa na heshima waimbaji waliimba nyimbo zenye mafundisho mengi sana enzi zile za kina marijan Rajab, Bichuka, Ngurumo na wengi wengineo.

Leo sasa mweeeh nyimbo zinahusu kunyanduana tu 😂, mara ooooh kalowa, hujakaa sawa mdundiko unakuja na ifinyie ndani 😂😂

Ngono haipo Twitter tu bwashee ipo kila mtandao, kama huamini basi fatilia uzi wa kula tunda kimasihara bila shaka utaacha kulalamika hapa.
"...nitawapambia vitendo vyao (vibovu wavione vizuri)
"...nitawapoteza wote wasifuate hiyo njia ya haki isipokuwa waja wako waliosafika kwelikweli"

hakuna mziki wa heshima, hakuna ngoma ya heshima hakuna dhambi ya heshima ila ni shetani katika kukulia timing anakupambia uione kama kitu kizuri mwanzoni kisha baada ya muda anakupeleka sasa kule alikokuwa amekusudia

MAANDIKO HAYAENDAGI PATUPU
 
"...nitawapambia vitendo vyao (vibovu wavione vizuri)
"...nitawapoteza wote wasifuate hiyo njia ya haki isipokuwa waja wako waliosafika kwelikweli"

hakuna mziki wa heshima, hakuna ngoma ya heshima hakuna dhambi ya heshima ila ni shetani katika kukulia timing anakupambia uione kama kitu kizuri mwanzoni kisha baada ya muda anakupeleka sasa kule alikokuwa amekusudia

MAANDIKO HAYAENDAGI PATUPU
Nimekusoma mkuu
 
Back
Top Bottom