Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,510
- 21,991
Wa kulaumiwa hapa ni ElonTwitter haijabadirika,ila vijana wanaojiunga siku hizi ndio wanaharibu maudhui ya twitter
Wa kulaumiwa hapa ni ElonTwitter haijabadirika,ila vijana wanaojiunga siku hizi ndio wanaharibu maudhui ya twitter
Yap amepunguza makali ya sheria kwa watumiajWa kulaumiwa hapa ni Elon
Nenda kasome uzi wa kula tunda kimasihara uone kama hutatoka huko nyege zimekukaba,, tena kila siku humu uko on trendingHata hapa JF sisi watumiaji ndio tunatengeza contents, mbona hatuoni video za ngono ukilinganisha na twitter?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbna mzuri shangaziiiHuu mtandao ulishanishinda sijawah hata kuutumia
Nilijiunga shangazi Kila Niki log in wanailetea vitu gani sijui eeh nikaona Cha kufia nn nikafutia mbali huko😀Mbna mzuri shangaziii
Hii ni kweli, lakini Twitter imepunguza sana moderation, hususan baada ya Elon Musk kuinunua. Kafukuza kazi watu wengi sana, wakiamo content moderators wengi, halafu ana falsafa za uhuru sana, free speech inayoruhusu mambo mengi ambayo wengine wangeona yachujwe.Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
mbna mie niko twitter na sipati hayo mambo ya ajabuNilijiunga shangazi Kila Niki log in wanailetea vitu gani sijui eeh nikaona Cha kufia nn nikafutia mbali huko
Sema nimefuta ningekuonyesha sijui code zenyew hata sielewmbna mie niko twitter na sipati hayo mambo ya ajabu
Ni kweli! Ingia zile pages incognito! Na usi-accept cookies!Sio kweli
Page za porn haziwezi kukutokea km hupendi kuangalia hayo madude...kuna algorithms zinazofuatialia things u like mitandaoni, from there zinaaanza kukuletea suggestion ya vitu inahisi you might like, based on your online activities.
Ukiachana na hii hoja ya mtoa mada, Kuna ile unasoma comments unakuta raia zimepost ngono humo kwenye comments, mara wanatangazA malaya, wanauza papa and etc. Hii inakera ofcoz nahis Twitter wangeweka hizi limitations ingesaidia sana.
Wengine tumeacha kuchek pono kwa nguvu yani Kublock adult sites, kufuta telegram, Instagram, WhatsApp groups, and other sources tukabaki na twitter, naona mda wa ku uninstall Twitter umefika pia
Acha ushamba kama wewe hupendi ngono nenda kwenye mitandao ya mahubiri Twitter waachie wapenda ngono unang'ang'ania ya nini unakera sanaBinafsi nilijiunga Twitter 2009, kipindi hicho ni mwendo wa internet cafe tu. Kati ya social media platform zilizoanzishwa miaka hiyo basi Twitter ilikuwa tulivu na ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals na baadhi ya watu tunaojielewa kiufupi ilikuwa na hoja nyingi za msingi kama ilivyo JF. Binafsi nilikuwa naikubali sana Twitter kwa information za ukweli na kuaminika.
Upepo umechange sana maana sasa hivi imekuwa na uchafu usiovumilika, koneksheni zimekuwa nyingi huko Twitter mpaka kero. Sijui inakuwa vipi Twitter inakosa restrictions katika suala hilo. Binafsi naona ni agenda za uchuro zinazoendelea kupitia Twitter maana kuna utofauti gani kati ya porn sites na Twitter sasa?
Binafsi sijafollow page za kijinga lakini zinadisplay sana kwenye Twitter yangu. Ninaipenda sana Twitter, siwezi iacha, ila hii issue kiukweli inanidhoofisha sana.
Sijui nyie wadau huko Twitter mnapaonaje? Mbona other social media haziruhusu post zenye maudhui ya ngono moja kwa moja? Je, ni ujio wa Elon Musk ndio umeleta haya mabadiliko? Je, ni dunia ndio ilikofika? Wadau mnalionajushamba
"ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals" DUH HAYA BWANABinafsi nilijiunga Twitter 2009, kipindi hicho ni mwendo wa internet cafe tu. Kati ya social media platform zilizoanzishwa miaka hiyo basi Twitter ilikuwa tulivu na ilitumiwa mostly with proffecionals, jonals na baadhi ya watu tunaojielewa kiufupi ilikuwa na hoja nyingi za msingi kama ilivyo JF. Binafsi nilikuwa naikubali sana Twitter kwa information za ukweli na kuaminika.
Upepo umechange sana maana sasa hivi imekuwa na uchafu usiovumilika, koneksheni zimekuwa nyingi huko Twitter mpaka kero. Sijui inakuwa vipi Twitter inakosa restrictions katika suala hilo. Binafsi naona ni agenda za uchuro zinazoendelea kupitia Twitter maana kuna utofauti gani kati ya porn sites na Twitter sasa?
Binafsi sijafollow page za kijinga lakini zinadisplay sana kwenye Twitter yangu. Ninaipenda sana Twitter, siwezi iacha, ila hii issue kiukweli inanidhoofisha sana.
Sijui nyie wadau huko Twitter mnapaonaje? Mbona other social media haziruhusu post zenye maudhui ya ngono moja kwa moja? Je, ni ujio wa Elon Musk ndio umeleta haya mabadiliko? Je, ni dunia ndio ilikofika? Wadau mnalionaje hili?
"...nitawapambia vitendo vyao (vibovu wavione vizuri)Hata muziki wa Tanzania ulikuwa na heshima waimbaji waliimba nyimbo zenye mafundisho mengi sana enzi zile za kina marijan Rajab, Bichuka, Ngurumo na wengi wengineo.
Leo sasa mweeeh nyimbo zinahusu kunyanduana tu 😂, mara ooooh kalowa, hujakaa sawa mdundiko unakuja na ifinyie ndani 😂😂
Ngono haipo Twitter tu bwashee ipo kila mtandao, kama huamini basi fatilia uzi wa kula tunda kimasihara bila shaka utaacha kulalamika hapa.
Nimekusoma mkuu"...nitawapambia vitendo vyao (vibovu wavione vizuri)
"...nitawapoteza wote wasifuate hiyo njia ya haki isipokuwa waja wako waliosafika kwelikweli"
hakuna mziki wa heshima, hakuna ngoma ya heshima hakuna dhambi ya heshima ila ni shetani katika kukulia timing anakupambia uione kama kitu kizuri mwanzoni kisha baada ya muda anakupeleka sasa kule alikokuwa amekusudia
MAANDIKO HAYAENDAGI PATUPU