Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,467
- 3,381
Grandbook haidanganyi, soma kwa makini na uelewe
DANIEL 1:
31 Wewe, Ee Mfalme, uliona, na tazama, sanamu kubwa sana. Sanamu hii, iliyokuwa kubwa sana, na mwangaza wake mwingi sana, ilisimama mbele yako; na umbo lake lilikuwa lenye kutisha.
32 Na sanamu hii kichwa chake kilikuwa ni cha dhahabu safi; kifua chake na mikono yake ni ya fedha; tumbo lake na viuno vyake ni vya shaba;
33 miguu yake ni ya chuma; na nyayo za miguu yake nusu ya chuma na nusu ya udongo.
34 Nawe ukatazama hata Jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.
35 Ndipo kile chuma, na ule udongo, na ile shaba, na ile fedha, na ile dhahabu, vilivunjwa vipande vipande pamoja vikawa kama makapi ya viwanja vya kupepetea wakati wa hari; upepo ukavipeperusha hata pasionekane mahali pake; na lile jiwe lililoipiga hiyo sanamu likawa milima mikubwa, likaijaza dunia yote.
36 Hii ndiyo ile ndoto, nasi tutaihubiri tafsiri yake mbele ya mfalme.
37 Wewe, Ee mfalme, u mfalme wa wafalme, na Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, na uwezo, na nguvu, na utukufu;
38 na kila mahali wakaapo wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa angani amewatia mkononi mwako, naye amekumilikisha juu ya hao wote; wewe u kichwa kile cha dhahabu.
39 Na baada ya zamani zako utainuka ufalme mwingine mdogo kuliko wewe; na ufalme mwingine wa tatu wa shaba, utakaoitawala dunia yote.
40 Na ufalme wa nne utakuwa na nguvu mfano wa chuma; kwa maana chuma huvunja vitu vyote na kuvishinda; na kama chuma kisetavyo vitu hivi vyote, ndivyo utakavyovunja-vunja na kuseta.
41 Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope.
42 Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika.
43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.
44 Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.
Ni taifa gani lililowahi kugawanyika?
Kwa nini vita hivi vinaenda sambamba na uimarishaji wa Ruble ya Urusi?
Soma kwa makini utaelewa maana ya ile fedha!
Urusi ndio taifa ambalo ni lazima lije liiongoze dunia, na utawala wake kwa inavyosema Grand book, litaiongoza dunia kwa mkono wa chuma ambapo kutasimamishwa sanamu ambayo itaamriwa kila mtu aisujudu, na ole wake asiyetii,
Ni utawala ambao hautaamini katika Mungu, na Mungu mwenyezi kwa hasira yake, atakuja kuukomesha utawala huu na kusimamisha utawala wake wa milele ambapo kwa mjibu wa Kitabu hicho, utakaliwa na Watakatifu tuu!!
Asomaye na aelewe!!
Na kadri tunavyoenda, na kwa sababu taifa hilo, limeanza kujipanga kufanya hivyo kwa muda mreeefu sana nyuma,
Watawala wa dunia wa awali, wataweka vikwazo wakiamini ni Mrusi anaumia, kwa kutokujua kuwa yeye alijiandaa kwa muda wa kutosha, watakuwa wakiumia wao na kisha hawatakubali, itabidi waingie vitani, na ndipo mandalizi ya mtawala huyu mpya, atayadhilisha kwa kuuangusha utawala uliokuwa mwanzo na kuchukua uongozi
Na ndipo ataweka sheria zake ambazo Nazi tambura his he yeyeto muamini Mungu!!
Na mwishoni kabisa mwa vita hivyo, Taifa la Israeli litashambuliwa kwa hasira Kali kutoka kwa mtawala huyu mpya, na hali hiyo kama Muumba wa mbingu na nchi kama hatosimama, Wayahudi hawatasalimika!!
Unaweza kuziita ndoto, au uwongo na kwa namna yoyote iwavyo, ila hivi ndivyo itakavyokuwa!!
Muwe na Jumapili njema
DANIEL 1:
31 Wewe, Ee Mfalme, uliona, na tazama, sanamu kubwa sana. Sanamu hii, iliyokuwa kubwa sana, na mwangaza wake mwingi sana, ilisimama mbele yako; na umbo lake lilikuwa lenye kutisha.
32 Na sanamu hii kichwa chake kilikuwa ni cha dhahabu safi; kifua chake na mikono yake ni ya fedha; tumbo lake na viuno vyake ni vya shaba;
33 miguu yake ni ya chuma; na nyayo za miguu yake nusu ya chuma na nusu ya udongo.
34 Nawe ukatazama hata Jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.
35 Ndipo kile chuma, na ule udongo, na ile shaba, na ile fedha, na ile dhahabu, vilivunjwa vipande vipande pamoja vikawa kama makapi ya viwanja vya kupepetea wakati wa hari; upepo ukavipeperusha hata pasionekane mahali pake; na lile jiwe lililoipiga hiyo sanamu likawa milima mikubwa, likaijaza dunia yote.
36 Hii ndiyo ile ndoto, nasi tutaihubiri tafsiri yake mbele ya mfalme.
37 Wewe, Ee mfalme, u mfalme wa wafalme, na Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, na uwezo, na nguvu, na utukufu;
38 na kila mahali wakaapo wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa angani amewatia mkononi mwako, naye amekumilikisha juu ya hao wote; wewe u kichwa kile cha dhahabu.
39 Na baada ya zamani zako utainuka ufalme mwingine mdogo kuliko wewe; na ufalme mwingine wa tatu wa shaba, utakaoitawala dunia yote.
40 Na ufalme wa nne utakuwa na nguvu mfano wa chuma; kwa maana chuma huvunja vitu vyote na kuvishinda; na kama chuma kisetavyo vitu hivi vyote, ndivyo utakavyovunja-vunja na kuseta.
41 Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope.
42 Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika.
43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.
44 Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.
Ni taifa gani lililowahi kugawanyika?
Kwa nini vita hivi vinaenda sambamba na uimarishaji wa Ruble ya Urusi?
Soma kwa makini utaelewa maana ya ile fedha!
Urusi ndio taifa ambalo ni lazima lije liiongoze dunia, na utawala wake kwa inavyosema Grand book, litaiongoza dunia kwa mkono wa chuma ambapo kutasimamishwa sanamu ambayo itaamriwa kila mtu aisujudu, na ole wake asiyetii,
Ni utawala ambao hautaamini katika Mungu, na Mungu mwenyezi kwa hasira yake, atakuja kuukomesha utawala huu na kusimamisha utawala wake wa milele ambapo kwa mjibu wa Kitabu hicho, utakaliwa na Watakatifu tuu!!
Asomaye na aelewe!!
Na kadri tunavyoenda, na kwa sababu taifa hilo, limeanza kujipanga kufanya hivyo kwa muda mreeefu sana nyuma,
Watawala wa dunia wa awali, wataweka vikwazo wakiamini ni Mrusi anaumia, kwa kutokujua kuwa yeye alijiandaa kwa muda wa kutosha, watakuwa wakiumia wao na kisha hawatakubali, itabidi waingie vitani, na ndipo mandalizi ya mtawala huyu mpya, atayadhilisha kwa kuuangusha utawala uliokuwa mwanzo na kuchukua uongozi
Na ndipo ataweka sheria zake ambazo Nazi tambura his he yeyeto muamini Mungu!!
Na mwishoni kabisa mwa vita hivyo, Taifa la Israeli litashambuliwa kwa hasira Kali kutoka kwa mtawala huyu mpya, na hali hiyo kama Muumba wa mbingu na nchi kama hatosimama, Wayahudi hawatasalimika!!
Unaweza kuziita ndoto, au uwongo na kwa namna yoyote iwavyo, ila hivi ndivyo itakavyokuwa!!
Muwe na Jumapili njema