Nina amini wafanya biashara wote wakubwa wa calibre ya MO lazima wawe na acc nje ya nchi, yaweza kua Uswisi, USA, China, Japan nk na hasa kwenye nchi wanazo fanya nazo biashara. Jana niliamua kwenda youtube kuangalia ile interview aliofanya na kina Salama Ajabri kule EATV, nimeona anasema alitakaga kukopa Barclays bank Tanzania pesa nyingi kidogo but wao wakawa wanataka kumpa only Tsh 800M then akaona ndogo and hence akaenda zake SA na wao wakampa $250M,, now hope asingeweza kupata mkopo wa namna hiyo bila kua na Account huko SA, nacho jaribu kusema hapa ni hiki, hakuna mfanyabiashara makini na mkubwa wa type yake asiwe na account nje ya nchi na wengine hawafanyi hivyo kwasababu ya kujificha, wanafanya hivyo kwa ajili ya kurahisisha manunuzi yao kwenye nchi hizo, ni wana siasa ndio hufungua account kwa njia za kificho kwasababu ya namna walivyo zipata hizo pesa, WAMEIBA and so wanaogopa and lazima wajifiche