Twende Kisasa Zaidi; Jee MO Ana Numbered Acct Kule Uswisi?

Twende Kisasa Zaidi; Jee MO Ana Numbered Acct Kule Uswisi?

Watu wameshika simu na kuzitupa chini fingerprints zinaanzia hapo lazima washachukua vitambulisho vya aina yeyote iwe Mpiga kura au Passport kuchunguza hii ishu siioni kama ina utata sana kuliko police wanavyotuaminisha na kutafuta kwa kuzuia mageti...
Haha Mzee hao sio vibaka wateke kindezi hivyo wakuachie hadi fingerprint, hao ni professional, lazima wajilinde kwa ilo kwa kuvaa gloves au fingerprint za bandia,na ni matukio huenda walijipanga ata miaka miwili nyuma
 
Nimejaribu kufikiri, jee MO kama ana numbered account kule Uswisi na hao watekaji wakawa wanahitaji pesa kutoka huko jee si ndio imetoka hiyo?
Jee mtindo huo wa kuwa na account za siri kweli ni mzuri katika ulimwengu huu uliofitinika? Maana hats state kama inataka kurudisha fedha zake yaweza kufanya umafia huo

Mkuu wacha poverty mentality. Siyo kila mwenye account Uswiss ni mwizi wa hela za Magufuli. Wengine walisoma huko..kwa hiyo baada ya kuondoka account wakaamua wasizifunge. Wengine walizifungua kwa ajili ya urahisi wa kulipa karo za watoto wao wanaosoma nje.....(siyo kila mtu anasomesha mtoto shule za kata) na wengine wamefungua kwa ajili ya biashara zao.

Kwa mtu kama MO kuwa na account Uswiss, US na kwingineko ni kitu cha kawaida maana anafanya transactions za kimataifa..so kufanya miamala inakuwa rahisi kama una account huko. And mostly don't forget....watu wanataka security ya utajiri wao!

Hizi nchi zetu JPM akiamka amekasirika unaweza kuta account zako zote 'zinafanyiwa uchunguzi' whatever that means! ...Tanzania tumefika sehemu hata ukiendesha mtumba wa Range rover utaambiwa wewe ni fisadi!

Mkuu kuna wenye account zao Dubai, Uswiss na kwingineko with clean money! so usifanye assumptions based on your economic situation au ambavyo umeaminishwa na watawala.
 
Haha Mzee hao sio vibaka wateke kindezi hivyo wakuachie hadi fingerprint, hao ni professional, lazima wajilinde kwa ilo kwa kuvaa gloves au fingerprint za bandia,na ni matukio huenda walijipanga ata miaka miwili nyuma

Mkuu nimeona matukio ya heist makubwa hao ni vibaka tuu yaani wamemkamata maeneo ambayo kungekuwa na resistance ndogo tuu wangekamatwa yaani inapigwa risasi maeneo yale harafu hakuna hata chopa wala nini kwa ajili ya kusaidia ile arfajiri tunafanya kazi kwa mazoea ndio maana unaona watu wazembe wanafauru kwa mambo wanayofanya ndani ya mji...
 
Lakini kama walitupa simu zake chini,ni vigumu kuamini hawa watu kweli walikuwa wanataka fedha.
Kama walitupa simu basi hawakuhitaji fedha? You are deadly wrong! Simu walitupa kwa sababu ya kuwa tracked sehemu walizoelekea.
 
Mkuu wacha poverty mentality. Siyo kila mwenye account Uswiss ni mwizi wa hela za Magufuli. Wengine walisoma huko..kwa hiyo baada ya kuondoka account wakaamua wasizifunge. Wengine walizifungua kwa ajili ya urahisi wa kulipa karo za watoto wao wanaosoma nje.....(siyo kila mtu anasomesha mtoto shule za kata) na wengine wamefungua kwa ajili ya biashara zao.

Kwa mtu kama MO kuwa na account Uswiss, US na kwingineko ni kitu cha kawaida maana anafanya transactions za kimataifa..so kufanya miamala inakuwa rahisi kama una account huko. And mostly don't forget....watu wanataka security ya utajiri wao!

Hizi nchi zetu JPM akiamka amekasirika unaweza kuta account zako zote 'zinafanyiwa uchunguzi' whatever that means! ...Tanzania tumefika sehemu hata ukiendesha mtumba wa Range rover utaambiwa wewe ni fisadi!

Mkuu kuna wenye account zao Dubai, Uswiss na kwingineko with clean money! so usifanye assumptions based on your economic situation au ambavyo umeaminishwa na watawala.
Wabongo bwana! Uwezo wa kuelewa sijui kwa nini umepotea hivi?
Nani kasema MO ni mwizi? Tunachosema ni kuwa numbered accounts uchukuaji wake wa fedha au uhamishaji hauhitaji kitambulisho au kadi bali secret numbers ambazo anayezijua ni muwekaji/wawekaji. Sasa jee kwa kutekwa kwa MO na kama ana accounts za aina hiyo watekaji hawawezi kutumia muda huu wote kukomba kilichopo kutokana na namba atakazo zitowa mwenyewe?
Hapo poverty mentality imetoka wapi kijana? Acha kuhemka!
 
nje ya mada kido wadau naomba kuuliza hivi karibuni familia ilitangaza dau kwa atakayetoa taarifa za kusaidia upatikanaji wa Mo je vipi itakuwa kwa usalama wa mtoa taarifa? pili kama wahusika ndiyo wenye nchi hizo taarifa zitakuwa na maana gani kwa familia hata kama wakijua location alipo? Mwisho kwa nini hii familia isingeomba msaada wa jeshi ndio litangaze hilo dau ili watu wapate moyo wa kuwapa taarifa?
 
Watu wameshika simu na kuzitupa chini fingerprints zinaanzia hapo lazima washachukua vitambulisho vya aina yeyote iwe Mpiga kura au Passport kuchunguza hii ishu siioni kama ina utata sana kuliko police wanavyotuaminisha na kutafuta kwa kuzuia mageti...

Gloves..........
 
Akaunti za Uswizi za hela kubwa si za kuchukua hela kirahisi rahisi.

Uswizi kuna banking regime tofauti na dunia nzima.

Nimefanya kazi ku encrypt banking systems za dunianzima, nchi mbili mpaka leo sisahau zilivyonisumbua.

Russia na Uswisi.
Mkuu we ni mtu "mkubwa" kumbe!
 
Watu wameshika simu na kuzitupa chini fingerprints zinaanzia hapo lazima washachukua vitambulisho vya aina yeyote iwe Mpiga kura au Passport kuchunguza hii ishu siioni kama ina utata sana kuliko police wanavyotuaminisha na kutafuta kwa kuzuia mageti...
Kama.walikuwa na gloves
 
Akaunti za Uswizi za hela kubwa si za kuchukua hela kirahisi rahisi.

Uswizi kuna banking regime tofauti na dunia nzima.

Nimefanya kazi ku encrypt banking systems za dunianzima, nchi mbili mpaka leo sisahau zilivyonisumbua.

Russia na Uswisi.
Tuambie kwa lugha nyepesi changamoto ulizokumbana nazo tafadhali
 
Uko sahihi mkuu Russia wako deep sana na system zao za crypto currency zipo vzuri kama za uswisi tatizo ni kwamba kinachotushangaza wengi wanafanikiwaje wakati hamna taasisi au mfumo maalum wanaohusika na hilo Jambo, Mimi Switzerland sishangai maana taasisi zipi zinahusika tunazjua ila kwa Moscow zinatia shaka
 
Back
Top Bottom