Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,010
- 74,649
Nimejaribu kufikiri, jee MO kama ana numbered account kule Uswisi na hao watekaji wakawa wanahitaji pesa kutoka huko jee si ndio imetoka hiyo?
Jee mtindo huo wa kuwa na account za siri kweli ni mzuri katika ulimwengu huu uliofitinika? Maana hats state kama inataka kurudisha fedha zake yaweza kufanya umafia huo
Jee mtindo huo wa kuwa na account za siri kweli ni mzuri katika ulimwengu huu uliofitinika? Maana hats state kama inataka kurudisha fedha zake yaweza kufanya umafia huo