Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,499
- 151,724
Mi mkubwa, nimefikisha majority enzi ya Mwinyi.Mkuu we ni mtu "mkubwa" kumbe!
Wemdogo?
Mi mkubwa, nimefikisha majority enzi ya Mwinyi.Mkuu we ni mtu "mkubwa" kumbe!
Waswizi wana sheria kali sana na tofauti sana za banking, kunamtandao mmoja nilikuwa naufanyiakazi umetambaa dunia nzima kwenye domain moja dunia nzima, Waswizi wakawa wako kwenye domain yao tofauti ikabidi wawe na ki project chao tofauti.Tuambie kwa lugha nyepesi changamoto ulizokumbana nazo tafadhali
Nilimaanisha katika mambo ya wasifu wa kikazi. Inaonekana umetembea sana katika ufanyaji wa hiyo kazi.Mi mkubwa, nimefikisha majority enzi ya Mwinyi.
Wemdogo?
Ulikusudia kuninukuu mimi au mwingine?Mbona unaongea masuala magumu kirahisi rahisi sana? Uswisi mpaka utoa pesa kama ww sio mmiliki ni ishu kubwa sana. Sio rahisi kihivyo
Hakuna cha finger prints. Hawa wanaonekana walijipanga vizuri. Lazima walikuwa wamevaa hand gloves. Na je kuna databank ya finger prints ili kuweza kuwagundua wahalifu hawa. Kama ni wa ndani kuna uwezekano. Lakini kama ni wa nje, kazi ipo na ndiyo sababu ushirikiano na wajuvi wa mambo haya unahitajika.Watu wameshika simu na kuzitupa chini fingerprints zinaanzia hapo lazima washachukua vitambulisho vya aina yeyote iwe Mpiga kura au Passport kuchunguza hii ishu siioni kama ina utata sana kuliko police wanavyotuaminisha na kutafuta kwa kuzuia mageti...
Ujue kuna mjomba wangu mmoja aliniambia Kiranga usibweteke kwakujilinganisha na watu uliowazidi.Nilimaanisha katika mambo ya wasifu wa kikazi. Inaonekana umetembea sana katika ufanyaji wa hiyo kazi.
Numbered bank account - Wikipedia
Hebu soma hapo we ndezi, ukikuta mjadala huuelewi kata kona nenda zako shule
Mkuu hebu mwaga shule hapa....Ndio maana ya numbered account
Bank zinajua katwekwa, utakuwa uzembe wa bank, labda kwa kuwa bank zina insurance kubwaWabongo bwana! Uwezo wa kuelewa sijui kwa nini umepotea hivi?
Nani kasema MO ni mwizi? Tunachosema ni kuwa numbered accounts uchukuaji wake wa fedha au uhamishaji hauhitaji kitambulisho au kadi bali secret numbers ambazo anayezijua ni muwekaji/wawekaji. Sasa jee kwa kutekwa kwa MO na kama ana accounts za aina hiyo watekaji hawawezi kutumia muda huu wote kukomba kilichopo kutokana na namba atakazo zitowa mwenyewe?
Hapo poverty mentality imetoka wapi kijana? Acha kuhemka!
Mo na MeTL ni entity tofauti sidhani kama Mo anahela nyingi kuliko MeTL.Nimejaribu kufikiri, jee MO kama ana numbered account kule Uswisi na hao watekaji wakawa wanahitaji pesa kutoka huko jee si ndio imetoka hiyo?
Jee mtindo huo wa kuwa na account za siri kweli ni mzuri katika ulimwengu huu uliofitinika? Maana hats state kama inataka kurudisha fedha zake yaweza kufanya umafia huo
na ndio maana wamemteka maeneo hayo kwa sababu walijua hawatapata resistance..... vipi wale Al shabab waliowachukua mateka watu pale Nairobi Shppping Mall tena mchana kweupee!! na wale ni vibaka... Watekaji wanakuwa na motives nyingiMkuu nimeona matukio ya heist makubwa hao ni vibaka tuu yaani wamemkamata maeneo ambayo kungekuwa na resistance ndogo tuu wangekamatwa yaani inapigwa risasi maeneo yale harafu hakuna hata chopa wala nini kwa ajili ya kusaidia ile arfajiri tunafanya kazi kwa mazoea ndio maana unaona watu wazembe wanafauru kwa mambo wanayofanya ndani ya mji...
Whats so special with Swiss?Akaunti za Uswizi za hela kubwa si za kuchukua hela kirahisi rahisi.
Uswizi kuna banking regime tofauti na dunia nzima.
Nimefanya kazi ku encrypt banking systems za dunianzima, nchi mbili mpaka leo sisahau zilivyonisumbua.
Russia na Uswisi.
Whats so special with Swiss?
I need to learn more.
very akil za watz zinaoza na ujinga pandikiz its so disappointingMkuu wacha poverty mentality. Siyo kila mwenye account Uswiss ni mwizi wa hela za Magufuli. Wengine walisoma huko..kwa hiyo baada ya kuondoka account wakaamua wasizifunge. Wengine walizifungua kwa ajili ya urahisi wa kulipa karo za watoto wao wanaosoma nje.....(siyo kila mtu anasomesha mtoto shule za kata) na wengine wamefungua kwa ajili ya biashara zao.
Kwa mtu kama MO kuwa na account Uswiss, US na kwingineko ni kitu cha kawaida maana anafanya transactions za kimataifa..so kufanya miamala inakuwa rahisi kama una account huko. And mostly don't forget....watu wanataka security ya utajiri wao!
Hizi nchi zetu JPM akiamka amekasirika unaweza kuta account zako zote 'zinafanyiwa uchunguzi' whatever that means! ...Tanzania tumefika sehemu hata ukiendesha mtumba wa Range rover utaambiwa wewe ni fisadi!
Mkuu kuna wenye account zao Dubai, Uswiss na kwingineko with clean money! so usifanye assumptions based on your economic situation au ambavyo umeaminishwa na watawala.
Nadhani nilikunukuu kimakosa.Ulikusudia kuninukuu mimi au mwingine?
Maana tunasema kimoja, halafu unanipinga.
Hakuna cha finger prints. Hawa wanaonekana walijipanga vizuri. Lazima walikuwa wamevaa hand gloves. Na je kuna databank ya finger prints ili kuweza kuwagundua wahalifu hawa. Kama ni wa ndani kuna uwezekano. Lakini kama ni wa nje, kazi ipo na ndiyo sababu ushirikiano na wajuvi wa mambo haya unahitajika.