kimombo kibovu kabisa na hakina maana huyu mwavita makamba ndo alikuwa barmaid wa lodge yao pale nanenane usambara lodge kisha ajiweka.meneja kisha mzee yusufu kamfukuza au mwingine?
.. so "HOW do you call an irrelevant person who think HE IS IT"?
Haya mkuu,you are it!!!!!!!!😆😆😆😆😆😆😆😆😆😕😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉
Hata EL ni rafiki wa JK!
Sio wote tumekwenda shule moja. Kila mtu na akili yake. Bora ukae pembeni uelimike. Kuna mifano mingi tu katika mtandao ila Watanzania ni wavivu wa kutumia ubongo.
Nahisi kama umenitukana vile! Hususani hapo Watanzania na Ubongo....
.. so "HOW do you call an irrelevant person who think HE IS IT"?
Aisee na tusubiri kupewa dozi za namna hii kwenye pressconference braza akiwa mkulu
....labda ameteleza tu mkuu