Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,405
- 5,531
Yaan hata ikiwa inaonesha..?Wakati ipo on
Yaan hata ikiwa inaonesha..?Wakati ipo on
Wala utakiwi kushika kitu chochote cha umeme apoEh.. Kweli lkn mkuu, nisije nikapigwa na shot Aise.
mwanangu peleka kwa fundi maana ukikosea kupitisha sumaku unaua hicho kimeo mazima. Ila hicho kimeo uongo dhambi cha kilongi sana halafu ndio zile za mafungu kariakoo hata brand name hamnagaWakati ipo on
Atulingani mkuu we kama una ya kwako flat kaushamwanangu peleka kwa fundi maana ukikosea kupitisha sumaku unaua hicho kimeo mazima. Ila hicho kimeo uongo dhambi cha kilongi sana halafu ndio zile za mafungu kariakoo hata brand name hamnaga
Singsuntv ukinunua moja unapewa zawadi ya microwave, home theater, friji na jiko. bei Chee tumkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
lazima niseme maana cheap ni expensive sana ona sasa limstari kwenye TV? angenunua kitu OG isingeleta zengwe yaani ukiwa huna ndio ukanunue matakataka umaskini juu ya umaskini. Wabongo tuna fikra duni sanaAtulingani mkuu we kama una ya kwako flat kausha
Du utafikiri ulikuwa kichwani mwangumkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
Tujikite kwenye swali la msingi mwenzetu anahitaji msaada. hivi vingine mnavyochungulia chungulia kuvichunguza mwachieni; inawezekana hii TV ya mahali maalumIyoo ndio ipo sebuleni au
Brother umeua!!!lazima niseme maana cheap ni expensive sana ona sasa limstari kwenye TV? angenunua kitu OG isingeleta zengwe yaani ukiwa huna ndio ukanunue matakataka umaskini juu ya umaskini. Wabongo tuna fikra duni sana
Kimfaacho mtu chakeTv yangu nilihama nayo toka nimehamia huku imeleta mistari mekundu kwa pembeni ya kioo
Nifanyeje wakuu irudi kawaida???
View attachment 800945
Maisha ya humu ndani mkuu kila mtu ni anafanya kazi posta,tena kazi ya ofisini...JamiiForum bwana!
Aiseee...Iyoo ndio ipo sebuleni au
na huo ndo ukweliJf bana kila mtu ana smart tv ,
wakati kiukweli wanaodisi tv ya jamaa wanaishi kwa mashemeji zao
Mnajifanya mna flat oooh kumbe hamna lolote ingekua mna flat mngelalamikia mb kupunguzwa???wabongo bana
Katika 100% wenye tv 5% tu ya watz ndo wenye flat halaf mtu anakuja kunibania pua hapa "eti hzo tv zinatumikaga"
Unaongea kwa kubana pua wakati hata kitanda huna unaishi kwa dada yako unakula na kulala poor you
mwanangu peleka kwa fundi maana ukikosea kupitisha sumaku unaua hicho kimeo mazima. Ila hicho kimeo uongo dhambi cha kilongi sana halafu ndio zile za mafungu kariakoo hata brand name hamnaga