MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,361
- 1,324
Wakuu Habari ya Jioni! Poleni na Majukumu ya Siku Nzima ya Leo.
Kama Njuavyo humu kuna Wabobevu Wengi Wa Mambo Katika Nyanja Mbalimbali, Naomba Kuuliza, Nina TV Yangu Niliagiza From Dubai, Tatizo Lake ni Kwamba kila nikitaka Kujiunga na Netflix inaniambia TV Haisapoti, Hivi Tatizo linaweza kuwa nini?
Maana Napitwa na Vingi kwa kutopata Netflix, Kwa Anaefahamu Msaada tutani, Nipo Tayari hata Kwa Kulipia kwa atakae nifanikishia Hili.
Natanguliza Shukrani
Kama Njuavyo humu kuna Wabobevu Wengi Wa Mambo Katika Nyanja Mbalimbali, Naomba Kuuliza, Nina TV Yangu Niliagiza From Dubai, Tatizo Lake ni Kwamba kila nikitaka Kujiunga na Netflix inaniambia TV Haisapoti, Hivi Tatizo linaweza kuwa nini?
Maana Napitwa na Vingi kwa kutopata Netflix, Kwa Anaefahamu Msaada tutani, Nipo Tayari hata Kwa Kulipia kwa atakae nifanikishia Hili.
Natanguliza Shukrani