Likasu
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 857
- 441
Na mimi nilitaka kushauri hicho hichoTafuta sumaku kubwa kubwa kidogo angalau kuanzia gram 100 na kuendelea uipitishepitishe kwenye screen ya TV yako tatizo litaisha mkuu.
Na mimi nilitaka kushauri hicho hichoTafuta sumaku kubwa kubwa kidogo angalau kuanzia gram 100 na kuendelea uipitishepitishe kwenye screen ya TV yako tatizo litaisha mkuu.
Tafuta sumaku kubwa zaidi ya uliyotumia mwanzoNimeshapitisha sumaku sana na rangu ikatoka hiyo imeganda hapo pembeni
Singsong hiyoHivi ni SINGSUNG au SAMSUNG , au macho yangu hayakamati vizuri
Niliwahi kuleta uzi humu kuhusu tv yangu ilikua inaniletea rangi kwenye kioo kama hivi[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
rangi ilikua imesambaa hivyo kama mnavyoona ila nashukuru sana mlinambia nitumie sumaku kutoa hiyo rangi iltoka ikabaki hapo pembeni ambapo imegoma kutoka kabisa
Hebu nishaurini wakuu hii rangi iliyobaki nimehangaika kuitoa niitoeje??nataka tv yangu iwe bluu kote
picha ya pili ndo rangi iliyobakia nifanyeje itoke???View attachment 835944View attachment 835949
Usitumia sumaku kuwa sana, na usiisogezee karibu sana utaharibu dawa.Sawa sawa mkuu
HahahJf bana kila mtu ana smart tv ,
wakati kiukweli wanaodisi tv ya jamaa wanaishi kwa mashemeji zao
Hahah dah amaa kweli!Tatizo unaiweka chini mkuu kama hauna stendi weka hata juu ya debe la unga
Me ndo nilifanya ivo
Heheehe aisee, kwani tv kazi yake ni nini?mkuu tafuta sumaku,hasa ya spika halafu ipitishe juu juu inatakasika,unaipitisha juu ya screen taratibu,usisogeze sana karibia na kioo,inatakasika fasta tu,ila hata hivyo tafuta pesa ununue tv,hiyo mali ni ya kizamani na low quality mno mkuu..
Wewe utakuwa uliweka spika karibu na TV usipoziondoa rangi itaendelea kukngezeka. Hiyo rangi kama ilisababishwa na spika za muziki za sub woofer, basi kuiondoa watatumia sumaku mafundi.
sumaki lazima upitishe TV ikiwa on Lakini tatizo liko Kwenye Degausing wire Fundi anaweza kukusaidia Vizuri zaidiMkuu, hyo sumaku utapitishapitisha juu wakati screen iko ON au OFF..?
Tv yangu nilihama nayo toka nimehamia huku imeleta mistari mekundu kwa pembeni ya kioo
Nifanyeje wakuu irudi kawaida???
View attachment 800945
Wewe utakuwa uliweka spika karibu na TV usipoziondoa rangi itaendelea kukngezeka. Hiyo rangi kama ilisababishwa na spika za muziki za sub woofer, basi kuiondoa watatumia sumaku mafundi.
sumaku lazima upitishe ikiwa on Lakini tatizo liko Kwenye Degausing wire Fundi anaweza kukusaidia Vizuri zaidiMkuu, hyo sumaku utapitishapitisha juu wakati screen iko ON au OFF..?
Akimaliza kuzitumia asisahau kurudishia hizo spika alipozitoa.Kama ukikosa sumaku fungua hiyo tv kuna zile spika kata waya zake chomoa hzo spika tumia ile sumaku yake
Tatizo unaiweka chini mkuu kama hauna stendi weka hata juu ya debe la unga
Me ndo nilifanya ivo
Wewe utakuwa uliweka spika karibu na TV usipoziondoa rangi itaendelea kukngezeka. Hiyo rangi kama ilisababishwa na spika za muziki za sub woofer, basi kuiondoa watatumia sumaku mafundi.