EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
- Thread starter
- #81
Mkuu nimeanza kuidownload season 1 hapa nafikiri kufikia kesho itakuwa imemaliza then ntaishusha ya pili maana nimeona kama ipo vile...itafute hiyo kamanda..uone jinsi Gov..na Agency zake..zinavyofanya mission....utapenda...
..jamaa wamecheza..Zimbambwe,Sudan...Afghastan...Burgaria...India...yaani..ni bonge la series Musimo Jr...