TV Series gani ilikukuna mtima wako.......

EJM_

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
3,836
2,091
Nikiwa mdogo kabisa nilianza kuwatch series aka tamthilia kwenye tv enzi hizo tamthilia kama
  1. Isidingo the need
  2. The sunset beach
  3. The young and the Restless
  4. Kidogo sana Days of our lives
  5. The bold and the Baeutful
  6. Baadae Passions
  7. La mujer De mi vida
  8. La Revancha
  9. na mwisho kwenye mfumo wa tv za kibongo nikawatch ile ya yina (sijui ilikuwa inaitwaje)

Baadae nikaachana na hizo maana sasa zikaanza kuboa na kila mtu anawatch na unakuta ziko kila station tena muda mmoja nikaloose interest na ndipo nikaanza kuwatch za kwangu kwenye ka tv ka home kabla sijapata laptop. Nikaanza na
  1. Prison Break
  2. 24
  3. heroes
  4. lost
Mpaka zilipoanza kuniboa nazo kasoro Prison Break na Heroes ambazo niliziwatch mpaka mwisho.

Tangu hapo nimekuwa addicted to tv series ambapo nimekwisha watch more than 50 series zenye urefu tofauti na mpaka nyingine nimezisahau majina. baadhi ni kama
  1. Sex and the city seasons 1 - 4
  2. accidentally on purpose
  3. merlin
  4. xena
  5. lie to me
  6. the oc
  7. kyle xy
  8. the tudor
  9. spartacus (blood and sand na Gods of the arena)
  10. Starget sg1
  11. Starget Atlantis
  12. leverage
  13. are we there yet?
  14. californication
  15. glee
  16. tru blood
  17. vampires diary
  18. Nikita
  19. 4400
  20. The L world
  21. the event
Na kadhalika kibao maana nyingine hata majina sizikumbuki tena

Sasa katika zote hizo these are my favorite
  1. Prison Break
  2. 24
  3. 4400
  4. na ile ninayoiwatch kwa sasa ingawa wananipa vipisi vipisi NIKITA

what are your favourites?
 
ther has never been like 24 for my side!! ever!!
Hii nikita nayo inakuja kwa kasi naikubali.. Prison niliipenda but mwishoni walinichefua kidogo...walizungusha zungusha mambo pale kuhunihuni hivi...

kwa tamthilia La revancha ilinishaika hasa...sijawahi kuangallia tamthilia tena baada yake maana zote naziona zimejaa mapenzi mengi tuu...
 
Hiyo NIKITA wajaeni mweeeee!
Naipendaje ila sijapampata wa kunipa yote lol hahahah!yaani series nzima jaman!
Nimeishia season 2 epsode ya 16,kwa mwenyenayo epsode za zaidi ya hapo anisaidie lol!

Samahani Musimo Jr kwan hapa nimepitiwa na kuweka tangazo hahahah!
 
ther has never been like 24 for my side!! ever!!
Hii nikita nayo inakuja kwa kasi naikubali.. Prison niliipenda but mwishoni walinichefua kidogo...walizungusha zungusha mambo pale kuhunihuni hivi...

kwa tamthilia La revancha ilinishaika hasa...sijawahi kuangallia tamthilia tena baada yake maana zote naziona zimejaa mapenzi mengi tuu...
Umbea unasema Prison Break ilikuwa iishie ile season ya kwanza tena mapema tu ile wakati michael anatoroka halafu akakuta sarah anavamiwa na wale vichaa pale ndio ilikuwa wabreak
 
Hiyo NIKITA wajaeni mweeeee!
Naipendaje ila sijapampata wa kunipa yote lol hahahah!yaani series nzima jaman!
Nimeishia season 2 epsode ya 16,kwa mwenyenayo epsode za zaidi ya hapo anisaidie lol!

Samahani Musimo Jr kwan hapa nimepitiwa na kuweka tangazo hahahah!
Hahahaaa Canta usijali mama, mi ninazo mpaka 20 si unajua wanatoa kidogo kidogo....... halafu naona kama inaelekea mwisho hivi labda kukutamanisha tu Semac ameuwawa na Ari halafu Percy karudi kuongoza Division
 
Umbea unasema Prison Break ilikuwa iishie ile season ya kwanza tena mapema tu ile wakati michael anatoroka halafu akakuta sarah anavamiwa na wale vichaa pale ndio ilikuwa wabreak
duh...kweli huo umbea....yaani iishie season ya kwanza!!??
 
Hahahaaa Canta usijali mama, mi ninazo mpaka 20 si unajua wanatoa kidogo kidogo....... halafu naona kama inaelekea mwisho hivi labda kukutamanisha tu Semac ameuwawa na Ari halafu Percy karudi kuongoza Division
wakati huo huo Percy anahaha kusaka mavumba baada ya minoti yake yote kupigwa mizinga....!!!
 
nimeangalia baadhi tu km secreto de amor,suaveneno,shades of sin,senhora de destino,second chance,daniela, escrave Isaura,forbiden passion na forbiden garden
 
Hahahaaa Canta usijali mama, mi ninazo mpaka 20 si unajua wanatoa kidogo kidogo....... halafu naona kama inaelekea mwisho hivi labda kukutamanisha tu Semac ameuwawa na Ari halafu Percy karudi kuongoza Division
Khaaaaaa!
Nataman kuona hiyo purukusha ilivotokea na namna Percy anavojidai kwa sasa lol!
Hebu ngoja kwanza............!
 
Nikiwa mdogo kabisa nilianza kuwatch series aka tamthilia kwenye tv enzi hizo tamthilia kama
  1. Isidingo the need
  2. The sunset beach
  3. The young and the Restless
  4. Kidogo sana Days of our lives
  5. The bold and the Baeutful
  6. Baadae Passions
  7. La mujer De mi vida
  8. La Revancha
  9. na mwisho kwenye mfumo wa tv za kibongo nikawatch ile ya yina (sijui ilikuwa inaitwaje)

Baadae nikaachana na hizo maana sasa zikaanza kuboa na kila mtu anawatch na unakuta ziko kila station tena muda mmoja nikaloose interest na ndipo nikaanza kuwatch za kwangu kwenye ka tv ka home kabla sijapata laptop. Nikaanza na
  1. Prison Break
  2. 24
  3. heroes
  4. lost
Mpaka zilipoanza kuniboa nazo kasoro Prison Break na Heroes ambazo niliziwatch mpaka mwisho.

Tangu hapo nimekuwa addicted to tv series ambapo nimekwisha watch more than 50 series zenye urefu tofauti na mpaka nyingine nimezisahau majina. baadhi ni kama
  1. Sex and the city seasons 1 - 4
  2. accidentally on purpose
  3. merlin
  4. xena
  5. lie to me
  6. the oc
  7. kyle xy
  8. the tudor
  9. spartacus (blood and sand na Gods of the arena)
  10. Starget sg1
  11. Starget Atlantis
  12. leverage
  13. are we there yet?
  14. californication
  15. glee
  16. tru blood
  17. vampires diary
  18. Nikita
  19. 4400
  20. The L world
  21. the event
Na kadhalika kibao maana nyingine hata majina sizikumbuki tena

Sasa katika zote hizo these are my favorite
  1. Prison Break
  2. 24
  3. 4400
  4. na ile ninayoiwatch kwa sasa ingawa wananipa vipisi vipisi NIKITA

what are your favourites?
Jacobs Cross
 
Hiyo NIKITA wajaeni mweeeee!
Naipendaje ila sijapampata wa kunipa yote lol hahahah!yaani series nzima jaman!
Nimeishia season 2 epsode ya 16,kwa mwenyenayo epsode za zaidi ya hapo anisaidie lol!

Samahani Musimo Jr kwan hapa nimepitiwa na kuweka tangazo hahahah!

Cantalisia baby,
wherever I see your username, my heart goes up and up,
like The Eifel Tower, and keep floating like a boat in The Rhine along Ruhr and Westphalia,
keeping a pause in Gienselkirchen,
then all way long to the Black Sea, through Donestk and Kyiv...
Ooh, am I poetic?
Mi nilivutiwa na Makutano Junction wakuu, at the time I was never out of sight when it was called Friday, and time turns 2030, that was amasing bwana!
Samahanini kwa kuweka tangazo wakuu.
 
Last edited by a moderator:
Ah Percy kachukua Plutonium iliyokuwa imefichwa na Brunt so anataka kutengeneza Nuke naona ila dah kwenye season 20 kaiba mavumba ya Berkof aka shadow walker. Dah Amanda amekuwa kama digidigi yeye na mpenzi wake Ari wanasakwa kama wezi
 
Cantalisia baby,
wherever I see your username, my heart goes up and up,
like The Eifel Tower, and keep floating like a boat in The Rhine along Ruhr and Westphalia,
keeping a pause in Gienselkirchen,
then all way long to the Black Sea, through Donestk and Kyiv...
Ooh, am I poetic?
Mi nilivutiwa na Makutano Junction wakuu, at the time I was never out of sight when it was called Friday, and time turns 2030, that was amasing bwana!
Samahanini kwa kuweka tangazo wakuu.
Love is blindoooo
 
Nikiwa mdogo kabisa nilianza kuwatch series aka tamthilia kwenye tv enzi hizo tamthilia kama
  1. Isidingo the need
  2. The sunset beach
  3. The young and the Restless
  4. Kidogo sana Days of our lives
  5. The bold and the Baeutful
  6. Baadae Passions
  7. La mujer De mi vida
  8. La Revancha
  9. na mwisho kwenye mfumo wa tv za kibongo nikawatch ile ya yina (sijui ilikuwa inaitwaje)

Baadae nikaachana na hizo maana sasa zikaanza kuboa na kila mtu anawatch na unakuta ziko kila station tena muda mmoja nikaloose interest na ndipo nikaanza kuwatch za kwangu kwenye ka tv ka home kabla sijapata laptop. Nikaanza na
  1. Prison Break
  2. 24
  3. heroes
  4. lost
Mpaka zilipoanza kuniboa nazo kasoro Prison Break na Heroes ambazo niliziwatch mpaka mwisho.

Tangu hapo nimekuwa addicted to tv series ambapo nimekwisha watch more than 50 series zenye urefu tofauti na mpaka nyingine nimezisahau majina. baadhi ni kama
  1. Sex and the city seasons 1 - 4
  2. accidentally on purpose
  3. merlin
  4. xena
  5. lie to me
  6. the oc
  7. kyle xy
  8. the tudor
  9. spartacus (blood and sand na Gods of the arena)
  10. Starget sg1
  11. Starget Atlantis
  12. leverage
  13. are we there yet?
  14. californication
  15. glee
  16. tru blood
  17. vampires diary
  18. Nikita
  19. 4400
  20. The L world
  21. the event
Na kadhalika kibao maana nyingine hata majina sizikumbuki tena

Sasa katika zote hizo these are my favorite
  1. Prison Break
  2. 24
  3. 4400
  4. na ile ninayoiwatch kwa sasa ingawa wananipa vipisi vipisi NIKITA

what are your favourites?

Unapata wapi muda wa kuangalia madude yote haya? Hongera.
 
Back
Top Bottom