Tuzo ya MO Ibrahim 2013

Tuzo ya MO Ibrahim 2013

Hatmaye ndg jk tuzo ya mo ibra imemkosa wakiwemo na marais wengne wa africa pia~source bbc swahili

Kikwete ameingiaje hapa? Tuzo inatolewa kwa marais wastaafu tena miaka mitatu nyuma, huku ni kujaribu kumpakazia rais wenu!!
 
Tuzo ya utawala bora Afrika kwa mwaka 2013 imekosa mshindi. Tuzo hii hupewa kiongozi aliyefanya vizuri katika nyanja ya afya,elimu,usalama na maendeleo ya kiuchumi. Hii ninakua mara ya nne kutopatikana mshindi pia mwaka 2009,2010,2012 alikosekana mshindi.

Tuzo hiyo ina thamani ya $5 (malipo ya awali) na $200,000 kwa kila mwaka kwa maisha yote ya mshindi na inadhaminiwa na Bw Mo Ibrahim (Tycoon) na mzaliwa wa Sudan

Source: DW - Kiswahili

==============
Bora Mohamed ibrahim afute hiyo zawadi kwa sasa. Viongozi wenyewe wa Africa sasa hawaitaki ICC. Mpaka hapo hawana sofa tena ya ku contest kwenye hiyo tuzo. Kenyatta kaua watu 2007 Leo jk na wenzie wanasema asubiri hadi amalze urais. HAKUNA HIYO.
 
Bora Mohamed ibrahim afute hiyo zawadi kwa sasa. Viongozi wenyewe wa Africa sasa hawaitaki ICC. Mpaka hapo hawana sofa tena ya ku contest kwenye hiyo tuzo. Kenyatta kaua watu 2007 Leo jk na wenzie wanasema asubiri hadi amalze urais. HAKUNA HIYO.

Yani umepigilia msumari.. Hakuna mwenye sifa so far... na itakaa muda mrefu sana mpaka aje kutokea..
 
Nasikia FaizaFoxy ana andaa yake na lazima Marais wa Zanzibar wote wapate na wa Tanzania mmoja, ila sijui ni nani.

Kaka Lipumba pia atapatiamo-mo.
Machadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
 
Last edited by a moderator:
Kwi kwi kwi kwi LOL! Eti DHAIFU anastahili kupata tuzo ya MO Ibrahim!!! Dah!!! Utendaji SIFURI, kutwa kucha kiguu na njia hata yanayoendelea nchini kwake hayajui, "Nimeelezwa, nimefahamishwa na nimeambiwa" hata tuzo ya nyumba kumi kumi hastahili achilia mbali ya Mo Ibrahim.

Machadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
 
Tuzo hii ingejivunjia heshima kama ingemtunukia na ingekua ni matusi na dharau kwa watanzania.Ingekua Tuzo ya Aibu!

Afterall,Ni kwa wastaafu

Ni kweli mkuu kiongozi kama huyu hafai heri wampe Mugabe au Kageme!
 
Wakimpa Rais yeyote wa Africa mashariki itakuwa ni UNAJISI MKUBWA SANA...
 
JK ameshajikusanyia airmile kibao hana haya na hiyo tuzo. Anasubilia zawadi kutoka kwa mashirika ya ndege kama Rais aliyetumia huduma yao kuliko marais wote kwa kipindi alichokuwa madarakani.

jk ni platinum customer wa mashirika ya ndege, nasikia hawa machizi wa kiafrika wamekutana addis ababa wanataka eti ICC iwe diluted, wanaota ndoto za mchana, ICC ndiyo milembe yenu tunawasubiri mwezi mchanga upite tunawapeleka ICC kunywa dawa.
 
nilidhan rais mstaafu wa ghana anastahili sana yule jerry rawlings kwani alikuza sana demokrasia na hata upinzan uliposhinda alikabidh madaraka vizuri mpaka leo ghana nzima anaheshimiwa labda huyu jamaa mpunga ulikua umepungua maana nimeckia kibiashara pia ameanza kutetereka!!!
 
Ni kiashiria kibaya na pigo kubwa kwa Uongozi Afrika kwani Maraisi wake wastaafu wameikosa tena tuzo nono ya Mo Ibrahimu kwa mwaka 2013. Imetangzwa rasmi!

Tuzo hiyo ya kiasicha Tsh bilioni 8 kwa kipindi cha miaka 10 imewahi kutolewa kwa Maraisi wafuatao; Pedro Verona Pires (Cape Verde - 2011), Festus Mogae (Botswana- 2008) na Joaquim Chissano (Msumbijii - 2007).


My fingers remained crossed for my Presida. Probablly the New Katiba, M23, Kilimo Kwanza and The Big Results now! will change the picture.


No winner for 2013 Mo Ibrahim prizeThe Mo Ibrahim Foundation has announced there will be no winner for the African leadership prize this year.


Hii tuzo angekuwa anachukua Nyerere kila mara ila si kwa hawa wasanii waliopo sasa. Kikwete hana cha maana alichokifanya hapa Tanzania katika utawala wake zaidi ya utalii na kufilisi nchi kumpa mwanawe utrilionea kwa mali za wananchi.
 
Nasikia FaizaFoxy ana andaa yake na lazima Marais wa Zanzibar wote wapate na wa Tanzania mmoja, ila sijui ni nani.

Kaka Lipumba pia atapatiamo-mo.

Yangu, wa kwanza kishaipata, mzee wa "indigo walk" Daktari wa kanoni Dr.W.Slaa, nampa tuzo ya kuhadaa Watanzania na kuweza kuwa na ma mamia ya misukule huku yeye akipeta licha ya kuwa na maadili mabovu ambayo hatujawahi kuyaona kwa kiongozi yoyote wa chama cha siasa kabla na baada ya kujitawala.

Na anazidi kuendelea kuwahadaa lakini mmo tu.

Anastahili kila tuzo kwa hilo.
 
Last edited by a moderator:
[h=1]The Ibrahim Index of African Governance is a lot more detailed than you might think[/h]by MIF | 14 October, 2013
The IIAG explained...
 
Back
Top Bottom