Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
naamini kama rais angalikuwa dk slaa. icc zamani ingalikuwa ishapiga hodi tz
Unless kama watakuwa wanatoa kwa vigezo vya kuangalia sura ya mtu ........... hapo JK atapita bila kupingwa.
Rais Jakaya kikwete awali alitajwa kuwa angepokea Tuzo ya MO-Ibrahim na gazeti moja la Marekani lakini katika hali isiyo ya kawaida mwaka huu tena Tuzo hii tena imekosa mtu,
Sababu zinazotajwa kuwa sababu kubwa za Jakaya kikwete kukosa Tuzo hiyo hizi hapa:
Kwanza kushindwa kuchukua hatua dhidi ya vyombo vya dola kunyanyasa Raia wake.
Kushindwa kudhibiti mianya ya Rushwa kwa vitendo.
Kuminya demokrasia kwa vyama pinzani, hii imeelezewa kuwa polisi ndo wamemsababishia sana.
Kuminya uhuru wa vyombo vya habari na kushindwa kuchukua hatua kama mkuu wa nchi, hapa imeelezwa kuwa kufungia vyombo vya habari bila sababu za msingi na mauaji ya waandishi wa habari, hapa Idara ya habari maelezo na wizara ya habari imelaumiwa sana katika hili pamoja na polisi kwa kumnyima Mkuu Tuzo hii.
vigezo vingine vyote alikuwa ameshinda, Jakaya ajitahidi tu achukue hatua na afanyie kazi haya yote mwakani atapewa tu.
source: Vigezo vya MO-IBRAHIMU KATIKA KUTOA TUZO KWA VIONGOZI WA AFRIKA.
Tuzo hii ingejivunjia heshima kama ingemtunukia na ingekua ni matusi na dharau kwa watanzania.Ingekua Tuzo ya Aibu!
Afterall,Ni kwa wastaafu
Machadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
Iweje matusi kwa watz wakati wao ndio waliomuweka JK madarakani?
Machadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
Hivi si inakuwa kwa ajili ya viongozi wastaafu au wamebadili?
Rais Jakaya kikwete awali alitajwa kuwa angepokea Tuzo ya MO-Ibrahim na gazeti moja la Marekani lakini katika hali isiyo ya kawaida mwaka huu tena Tuzo hii tena imekosa mtu,
Sababu zinazotajwa kuwa sababu kubwa za Jakaya kikwete kukosa Tuzo hiyo hizi hapa:
Kwanza kushindwa kuchukua hatua dhidi ya vyombo vya dola kunyanyasa Raia wake.
Kushindwa kudhibiti mianya ya Rushwa kwa vitendo.
Kuminya demokrasia kwa vyama pinzani, hii imeelezewa kuwa polisi ndo wamemsababishia sana.
Kuminya uhuru wa vyombo vya habari na kushindwa kuchukua hatua kama mkuu wa nchi, hapa imeelezwa kuwa kufungia vyombo vya habari bila sababu za msingi na mauaji ya waandishi wa habari, hapa Idara ya habari maelezo na wizara ya habari imelaumiwa sana katika hili pamoja na polisi kwa kumnyima Mkuu Tuzo hii.
vigezo vingine vyote alikuwa ameshinda, Jakaya ajitahidi tu achukue hatua na afanyie kazi haya yote mwakani atapewa tu.
source: Vigezo vya MO-IBRAHIMU KATIKA KUTOA TUZO KWA VIONGOZI WA AFRIKA.
Machadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
Akichukuwa JK lazima uchuro mkuu utatokea hapa duniani, kama watu wote kutembea watupuMachadema yanahangaika ovyo hakuna wa kuzuia JK kuchukuwa tuzo ya MO-Ibrahimu.
Tuzo ya utawala bora Afrika kwa mwaka 2013 imekosa mshindi. Tuzo hii hupewa kiongozi aliyefanya vizuri katika nyanja ya afya,elimu,usalama na maendeleo ya kiuchumi. Hii ninakua mara ya nne kutopatikana mshindi pia mwaka 2009,2010,2012 alikosekana mshindi.
Tuzo hiyo ina thamani ya $5 (malipo ya awali) na $200,000 kwa kila mwaka kwa maisha yote ya mshindi na inadhaminiwa na Bw Mo Ibrahim (Tycoon) na mzaliwa wa Sudan
Source: DW - Kiswahili
==============
Tuzo ya utawala bora Afrika kwa mwaka 2013 imekosa mshindi. Tuzo hii hupewa kiongozi aliyefanya vizuri katika nyanja ya afya,elimu,usalama na maendeleo ya kiuchumi. Hii ninakua mara ya nne kutopatikana mshindi pia mwaka 2009,2010,2012 alikosekana mshindi.
Tuzo hiyo ina thamani ya $5 (malipo ya awali) na $200,000 kwa kila mwaka kwa maisha yote ya mshindi na inadhaminiwa na Bw Mo Ibrahim (Tycoon) na mzaliwa wa Sudan
Source: DW - Kiswahili
==============