JK hakuwekwa madarakani na watanzania, bali na tume ya uchaguzi wakishirikiana na usalama wa taifa.
kwahiyo alishinda Babu?akili mali,Babu wakati wa uchaguzi alitembelea majimbo 25%tu,ndio utegemee kushinda.
JK hakuwekwa madarakani na watanzania, bali na tume ya uchaguzi wakishirikiana na usalama wa taifa.
Tuzo za MO Ibrahimu haziwezi kutolewa kwa viongozi wa Africa wanaokataa IOC!
Poa Kiongozi!Ni ICC mkuu sio IOC
Poa Kiongozi!
kwahiyo alishinda Babu?akili mali,Babu wakati wa uchaguzi alitembelea majimbo 25%tu,ndio utegemee kushinda.