The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Kwa yeyote anayehusika na jambo hili ikiwa ni mchengerwa au karia ama mwingine yeyote akitumia akili yake bila kuipeleka likizo atakubaliana na mimi kwamba Kwa wachezaji wa timu ya taifa tuliyonayo sasa ni uharibifu wa mali za umma kuleta kocha Toka mataifa ya kigeni.
Kama wadau wako serious na mpira wa nchi hii basi nawashauri wawatafute wageni Kwa level ya consultance ya namna gani tutengeneze vijana watakaoliletea taifa makombe nyakati zijazo.
Kwa sasa atafutwe kocha yeyote tu mzawa mwenye sifa za kukaa kwenye benchi la ufundi ilimradi siku ziende.
Kuwekeza nguvu nyingi sana kwenye timu ya taifa Kwa sasa ni kama kujaribu kumlipia ada ya chuo kikuu mwanafunzi mwenye zero ya o level.
Kama wadau wako serious na mpira wa nchi hii basi nawashauri wawatafute wageni Kwa level ya consultance ya namna gani tutengeneze vijana watakaoliletea taifa makombe nyakati zijazo.
Kwa sasa atafutwe kocha yeyote tu mzawa mwenye sifa za kukaa kwenye benchi la ufundi ilimradi siku ziende.
Kuwekeza nguvu nyingi sana kwenye timu ya taifa Kwa sasa ni kama kujaribu kumlipia ada ya chuo kikuu mwanafunzi mwenye zero ya o level.