Tuwe na lugha moja basi, mke mzuri ni yupi?

Tuwe na lugha moja basi, mke mzuri ni yupi?

Cha njiwa

Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
77
Reaction score
156
Uzuri wa mke ni upi? Naona kila mtu anaona kivyake.

Mtu anaposema "msichana mkali" huwa mkamilifu kwa lipi ni sura, weupe, urefu, wowowo, au yupi maana utaona mwingine anayesifiwa ana kasura kazuri kweli lakini kwa wale wadau wa wowowo wanaponda na kuna rafiki yangu mmoja hivi ananiambia yeye huwa anachoangali ni sura tu.

Sasa tuwe na lugha moja, msichana mkali ni yupi na wote waseme ndiyo.
 
Sifa ikiwa kwa wanaume wote duniani mwanamke tunayemtaka ni mmoja huoni kuwa tutauana?

Wakwenda kwa bibi ataenda, wa kuiba ataiba ili awe na pesa, wa kutumia vumbi ya kongo ataitafuta na itafika kipindi muuzaji wa vumbi ya kongo na dawa za kuongeza nguvu za kiume ataacha kuuzia wengine kisha kuzitumia yeye ili am win mwanamke....... n. k

N.B... Hauhitaji kuwa na mwanamke aliye chaguo la wengi na anayesifika kwa wengi bali unayemuona wewe anakufaa kwa kuwa hautowaolea hao wanaomsifia.
 
Roho yako iwe ime mpenda na anakusukiliza .
Sasa mtu mwingine anaweza kuja anawakuta mmekaa anawaambia "nimekutana na demu mkali hapo kati, yaani nzr balaa"..sasa ndo mnajiuliza yukoje huyo! Kuja kumchek, hana kalio, labda sio mweupe, labda sio mweusi au sura.... Sasa ni uzuri upi wote watakubali kwamba ni mzr?
 
Wanawake wanataka mwanaume mwenye pesa, wanaume wanataka misambwanda sjui wanataka kugundua nini hawa viumbe
 
Sasa mtu mwingine anaweza kuja anawakuta mmekaa anawaambia "nimekutana na demu mkali hapo kati, yaani nzr balaa"..sasa ndo mnajiuliza yukoje huyo! Kuja kumchek, hana kalio, labda sio mweupe, labda sio mweusi au sura.... Sasa ni uzuri upi wote watakubali kwamba ni mzr?
Roho na macho ya muonaji yameridhia uzuri wake
 
1. Mweupe
2. Awe mnene wastani/ awe na nyama nyama
3. Mrefu wastani
4. Apende Ibada(Kumcha Mungu)
Hapo, tukipatana; atanitawala kama Raisi Mugabe.
Huyo kwangu ndiyo mzuri
 
Back
Top Bottom