Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,402
- 320
Maji yameingia mdudu.....heri kuchimba kisima chako mwenyewe....ili uyafaidi yaliyo salama, chupa kubwa na ndogo zote ni hatari....mengine hupatikana bure, unywe uishi kwa matumaini ....na baadae ili ufe, yapo yanayopitishwa mitaani kwa rebo fupi na ndefu hupendeza ukiomba tu wapewa. na dawa ya mdudu haijapatikana........,.......kuwa makini ewe mwenye kiu,,,,,,,!!!!!