Tuwaze kwa pamoja zaidi

Tuwaze kwa pamoja zaidi

olmo

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2026
Posts
318
Reaction score
621
Issue ya Mwalimu mchezaji inaweza ikawa muhimu kwa siasa zetu watu wamepanga kunufaika nayo, kumbukeni wiki hii ndio kuna deadline fulani hivi, na uhakika mnaijua lakini pia kuna kesi muhimu sana mahakamani inaendelea.

Sasa kwa vile simba na yanga ndio maradhi mojawapo yaliyotutia ulemavu wa kichwa watanganyika, basi kuna asilimia chache huenda kundi moja limekatwa lijadili ya sele mwalimu wiki hii ili pressure isiwe kubwa sana.

Hivi unawezaje kumkuza sele mwalimu kwa kiasi hiki?
1.Je aliwahi kuwa mchezaji kwenye kikosi cha kwanza kwenye timu ailizopita?

2. Aliwahi kuwa mfungaji,hata namba tatu kwenye ligi alizocheza?

Ndugu zangu watanganyika nimewaza tu, lakini hizi timu mbili tukiamua tuziblock hata kwa mwezi mmoja tusipokee hata sms kutoka kwenye hizi timu, tunaweza kuona utupu wa mtu mzima! 🫢🫢🫢🫢.
Hivi visemaji viwili na Hersii vinaweza kuwa vinatumika kwa wiki hii!

Na kama ni hivo kina manara, sijui kina nani kila siku wanajifanya watu wa mpira na mpira unahitaji watu waje wakuone ukicheza bila watu huwezi kucheza mpira. Sote tuliona kipindi cha covid soka lilipoa sana. Aya kama hawa watu wa mpira wanatupenda na wanataka tuwe salama tukawasapoti kwanini hawatutetei hata kidogo? Kama hawafanyi hivo basi ni wanufaika 100%. Titilaa sijui na nani huyo mwashambo karibuni mchafue uzi wangu.
 
Kipindi hiki ukiwa chadema na wakati huo huo shabiki wa 5imba basi maisha Yako yanakuwa magumu sana.........wasiwasi tu muda wote🤣🤣🤣
Watu wakicheka basi kujistukia kwako unahisi wanakucheka wewe🤣🤣
 
Kipindi hiki ukiwa chadema na wakati huo huo shabiki wa 5imba basi maisha Yako yanakuwa magumu sana.........wasiwasi tu muda wote🤣🤣🤣
Watu wakicheka basi kujistukia kwako unahisi wanakucheka wewe🤣🤣
Kwani we ni chama gani hadi unaona Chadema hawana amani? Kama uko chama kimoja na katambi basi hauko salama mzee utakuja kusema mwenyewe baadae
 
Kipindi hiki ukiwa chadema na wakati huo huo shabiki wa 5imba basi maisha Yako yanakuwa magumu sana.........wasiwasi tu muda wote🤣🤣🤣
Watu wakicheka basi kujistukia kwako unahisi wanakucheka wewe🤣🤣
Endelea kuicheka Chadema na Simba huko 2040 kitukuu chsko kiuliwe kwenye maandamano
 
Endelea kuicheka Chadema na Simba huko 2040 kitukuu chsko kiuliwe kwenye maandamano
Sio maandamano kitafuatwa ndani kimejificha na bado kitagongwa gun ya bicchwa
 
Issue ya Mwalimu mchezaji inaweza ikawa muhimu kwa siasa zetu watu wamepanga kunufaika nayo, kumbukeni wiki hii ndio kuna deadline fulani hivi, na uhakika mnaijua lakini pia kuna kesi muhimu sana mahakamani inaendelea.

Sasa kwa vile simba na yanga ndio maradhi mojawapo yaliyotutia ulemavu wa kichwa watanganyika, basi kuna asilimia chache huenda kundi moja limekatwa lijadili ya sele mwalimu wiki hii ili pressure isiwe kubwa sana.

Hivi unawezaje kumkuza sele mwalimu kwa kiasi hiki?
1.Je aliwahi kuwa mchezaji kwenye kikosi cha kwanza kwenye timu ailizopita?

2. Aliwahi kuwa mfungaji,hata namba tatu kwenye ligi alizocheza?

Ndugu zangu watanganyika nimewaza tu, lakini hizi timu mbili tukiamua tuziblock hata kwa mwezi mmoja tusipokee hata sms kutoka kwenye hizi timu, tunaweza kuona utupu wa mtu mzima! 🫢🫢🫢🫢.
Hivi visemaji viwili na Hersii vinaweza kuwa vinatumika kwa wiki hii!

Na kama ni hivo kina manara, sijui kina nani kila siku wanajifanya watu wa mpira na mpira unahitaji watu waje wakuone ukicheza bila watu huwezi kucheza mpira. Sote tuliona kipindi cha covid soka lilipoa sana. Aya kama hawa watu wa mpira wanatupenda na wanataka tuwe salama tukawasapoti kwanini hawatutetei hata kidogo? Kama hawafanyi hivo basi ni wanufaika 100%. Titilaa sijui na nani huyo mwashambo karibuni mchafue uzi wangu.
Wewe ndio unashoboka na usajili wa Mwalimu. Wengine ni kawaida tu.
 
Jina lenyewe mtoto wa shule! Pita kushoto hapa hupawezi nenda kamchangie mtoto wa zuchu huko.
Weka CV yako nami niweke yangu tuone nani Mwamba. Na CV credentials ziambatane na na namba za vyeti vya form four, six na vyuo ili kila mmoja humu afanye verification kwa wakati wake kujua nani ni nani kati ya mimi na wewe.

UPO TAYARI??
 
Weka CV yako nami niweke yangu tuone nani Mwamba. Na CV credentials ziambatane na na namba za vyeti vya form four, six na vyuo ili kila mmoja humu afanye verification kwa wakati wake kujua nani ni nani kati ya mimi na wewe.

UPO TAYARI??
Basi nawewe ni kama Amini Mahamba wa mchongo, unatishia una CV na vyeti unavitumia kwa kazi gani? Uchawa?
 
Back
Top Bottom