Nlikusahau Dena Amsi, upo? Siku nyingi sijakuona humu, kulikoni? Wewe ni mmoja wa Makungwi wa MMU! Where are you Dena?
Kungwi mambo, habari yako Kungwi habari za siku nyingi Kungwi...dah Kungwi umepotea kweli Kungwi...au sababu ya mishemishe za sikukuu Kungwi..Nipo hapa
Nyie ruke rukeni weeee lkn mtu mzima WASHA WASHA ndio mtama kwa watoto. Hakuna siku aliniacha hoi kama siku aliyo-isuuza chupi ya mpangaji mwenzie ambaye ni demu na kuleta kizaa zaa na mkewe.
Nasikitika kuwa ame-Log off komplitily.
Where you brazza washa boy?!
Nyie ruke rukeni weeee lkn mtu mzima WASHA WASHA ndio mtama kwa watoto. Hakuna siku aliniacha hoi kama siku aliyo-isuuza chupi ya mpangaji mwenzie ambaye ni demu na kuleta kizaa zaa na mkewe.
Nasikitika kuwa ame-Log off komplitily.
Where you brazza washa boy?!
Mzee wa vitumbua.
Na wee ndo hao nn?hapo kwenye red nimejikuta nacheka mwenyewe heheheh
Sitaki kuamini kama hakuna aliyenitaja! Naandamana........................
.............
Nibebe
sina tatizo
Vinara kwenye nini?
Halafu kongosho nakutaka bila kujali jinsi yako!
Ziltan mi labda nipo kwenye jokes zaidi kuliko MMUKongosho,
lizzy
exellent
ziltan
nk