Mvella jr.
Member
- Jan 31, 2015
- 48
- 9
Namkumka Chonya wa Chilonwa. If the polic come tell Chonya of Chilonwa take this girl to hospital
Chonya Matonya wa Chilonwa me! Lol.
Namkumka Chonya wa Chilonwa. If the polic come tell Chonya of Chilonwa take this girl to hospital
Mine boy,
Hekaya za abunuwasi
Kufikirika: Shaaban Robert!
Zote mbili ni riwaya za Shaaban Robert mkuu!!!!Sii kusadikika?
Dah! nafurahi jitihada zangu za kukusanya vitabu inazidi kufanikiwa.
baada ya kuipata vitabu vya alfu lela ulela cha kwanza hadi cha nane, vya Shafi A. Shafi vitano, Shaabani Robert sita, Allan Quarterman viwili, Ben mtobwa Saba, juzi kati nimepata Unyama wa Mafia cha Zahir Ally Zorro, Jamaa hodari kisiwani, kisiwa cha hazina, safari za gulivers, oliver twist, na kubwa lao NJAMA cha marehemu A.E. Musiba.
bado navisaka na kununua. maktaba yangu inazidi kunawiri.
Asante mkuu, umemaliza... Mengine ni madogo madogo tu1)Shafi Adam Shafi
2)Shaaban Robert
3)Mathias Mnyampala
4)Penina Mlama
5)Ndyanao Balisidya
6)Hammie Rajab
7)Alistablus E Musiba
9)Ben R Mtobwa
10)Gray Mchome
11)Sam Kitogo
12)Faraji Katarambula
13)John Simbamwene
14)Hadji Konde
15)Agoro Anduru
16)Ngalimecha Ngahyoma
17)John Rutahisingwa
18)Ngugi Wa Thiong´o(James Ngugi)
19)Peter Abraham
20)Okot Bitek
21)Chinua Achebe
22)S M Bawji
23)Nico Ye Mbajo
Jamani namkumbuka saana
Shafi Adam Shafi na vitabu vyake vifuatavyo
1.Vuta N'kuvute
2.Nyota Ya Rehema
3.Kasri Ya Mwinyi Fuad
4.Kuli
5.Mbali Na Nyumbani : hiki amekitunga hivi karibuni ni kitabu kizuri saaana
Dah! nafurahi jitihada zangu za kukusanya vitabu inazidi kufanikiwa.
baada ya kuipata vitabu vya alfu lela ulela cha kwanza hadi cha nane, vya Shafi A. Shafi vitano, Shaabani Robert sita, Allan Quarterman viwili, Ben mtobwa Saba, juzi kati nimepata Unyama wa Mafia cha Zahir Ally Zorro, Jamaa hodari kisiwani, kisiwa cha hazina, safari za gulivers, oliver twist, na kubwa lao NJAMA cha marehemu A.E. Musiba.
bado navisaka na kununua. maktaba yangu inazidi kunawiri.
Samahani Angel Nylon, sijaingia humu kitambo sana.
Unakaribishwa Ukhty
nipo moshi nawezaje kupata ''msako wa hayawani''vitabu ambavyo viko katika hazina yangu. Tutarudi na roho zetu?, roho ya paka, salamu toka kuzimu, malaika wa shetani, pesa zako zinanuka, lazima ufe joram, dimbwi la damu vya ben mtobwa..njama, kikomo, kikosi cha kisasi vya elvis musiba pia ninacho mashimo ya mfalme suleiman. Na kijasho chembamba, jogoo la shamba na msako wa hayani vya edie ganzel. Watunzi wote wazuri wamesha fariki.
Mkuu nitapata wapi Alfu lela ulela? Nisaidie pliiz