Tuwakumbuke mastaa waliovuma Bongo miaka ya 2000 mpaka 2010

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,032
Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk

Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.

Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.

Staa yupi unamkumbuka zaidi?
 
Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk

Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.

Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.

Staa yupi unamkumbuka zaidi?
picha ya viatu vya ally choki tafadhali 🤣
 
Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk

Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.

Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.

Staa yupi unamkumbuka zaidi?
Mimi mzee wa bange.

adriz
 
Mimi mzee wa bange.
20230831_210448.jpg
 
Alfred Gewe....alikuwa kamanda/kamishna wa polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni nadhani.
Huwa namkubali sana huyu baba toka nasoma mpaka napata akili za ukubwani

Sijui baada ya kustaafu yu wapi kwa sasa.
Alinishawishi nipende kujiunga na kazi ya uaskari, ila ndio hivo sikubahatika kwenda mafunzoni.
Alikuwa role model wangu kutoka moyoni kabisa.
 
Back
Top Bottom