Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,032
Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk
Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.
Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.
Staa yupi unamkumbuka zaidi?
Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa umaarufu.
Ali Choki mzee wa farasi. Huyu alikuwa maarufu mpaka kuna viatu vikapewa jina lake.
Staa yupi unamkumbuka zaidi?