KILAKA
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 374
- 127
Inabidi ifike mahali tubadilishe mila na desturi zetu kutokana na mabadiliko yaliyopo sasa ya sayansi,teknolojia pamoja na manzingira kama hilo halitawezekana basi zile mila zenye kuleta shaka kama unyago/jando tuziache kabisa afu jamii kibao wanaishi bila mila hizi na wanafanikiwa na vijana wanakuwa wakiwa wanajitambua !!!! TUBADILIKE TUNAISHI KARNE YA ISHIRINI NA MOJA.