Tuwafiche wapi watoto wetu wa kike?

Tuwafiche wapi watoto wetu wa kike?

huyo sijui alifundishwa nn....mimi nilipofundishwa niliambiwa nisikubali mtu aniguse na nikatishwa kabisa ntatoka usaha ha ha ha..nisimruhusu hata aniguse nyonyo :wink:
 
Yaan shida, mama anachepka na baba ndousiseme unafikiri vitoto vitakuweje, ngoja vile maisha
 
tatizo familia zetu ndo chanzo na maisha ya kuigiza. mmmmhhhh endeleeni ndo mmeumbwa hivyo kuitumia miili kupata kipato .
 
Dah...vitoto vya kitaa vina mitego ajabu...alafu haviogopi mtu wala nini..alafu vimepinda vibaya...yaani vinakuambia wazi tu...ukitaka mbunye umwambie...basi burudaani kabisa....aaaah uswazi kutamu jamani...
 
hizi ni nyakati za mwsho na maandiko yanatimia sasa.Mungu wanusuru tu wanetu.
 
Back
Top Bottom