stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
Habarini!?
Nimesikitishwa na tukio nililoliona wiki hii kwenye pitapita zangu ni binti Wa darasa la 4 amekataa shule akitaka aendelee na maisha ya kujiuza!
Ni binti ambae kwa mahesabu ya haraka atakuwa na miaka12 na kamwili kakuvutia kalikoletwa na kuvunja ungo mapema!
Baada tu ya kuvunja ungo ndipo akafundwa yale mambo ya pwani kuhusu ukubwa na tabia zake tangu hapo zikawa si nzuri!
Mtoto huyu kulala kwenye vigodoro ni kawaida kwake kupigwa mitungo na mengineyo!
Je hizi tamaduni zetu hatuwezi kuziacha? Au kupunguza makali ya mafunzo? Mbona watoto wetu wanaharibikiwa baada ya kufunzwa?
Tuwafiche wapi watoto wetu Wa kike?
Nawasilisha.
Nimesikitishwa na tukio nililoliona wiki hii kwenye pitapita zangu ni binti Wa darasa la 4 amekataa shule akitaka aendelee na maisha ya kujiuza!
Ni binti ambae kwa mahesabu ya haraka atakuwa na miaka12 na kamwili kakuvutia kalikoletwa na kuvunja ungo mapema!
Baada tu ya kuvunja ungo ndipo akafundwa yale mambo ya pwani kuhusu ukubwa na tabia zake tangu hapo zikawa si nzuri!
Mtoto huyu kulala kwenye vigodoro ni kawaida kwake kupigwa mitungo na mengineyo!
Je hizi tamaduni zetu hatuwezi kuziacha? Au kupunguza makali ya mafunzo? Mbona watoto wetu wanaharibikiwa baada ya kufunzwa?
Tuwafiche wapi watoto wetu Wa kike?
Nawasilisha.