Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

Kheeeeeh km ndo hivyo sitoboi, maana mmmh.
Nna damu ya kunguni shem.
Na sikuiz department ndo wanapeleka uhitaji na majina ya wanaowataka,, so department ikisema haihitaj mtu,,,ndo imetoka hvo,, halafu kiingereza wanakazania utadhan unaenda kufundisha language
 
Hivi interview huwa inakuaje? Kuanzia written na oral? Mimi nimeomba ya Architect.
Nliwahi kufanya udom..written ilikua research na pia kuandika topic ktk masomo husika.....oral unapewa nafasi ya kufundisha topic unayochagua mbele ya panel umeweka kabisa na ubao kama lecture.
 
Nliwahi kufanya udom..written ilikua research na pia kuandika topic ktk masomo husika.....oral unapewa nafasi ya kufundisha topic unayochagua mbele ya panel umeweka kabisa na ubao kama lecture.
Aisee balaa,sasa topics kila somo,hiii bhagosha.kukumbuka ni mtihani sana.mliitwa wangapi? Na he ilikuwa Utumishi au chuo wenyewe?
 
Kumbe department husika wankuwepo,hapo kama hujasoma chuo hicho haupati kazi.aisee
 
Presentation tu i.e Uwasilishaji Mada na unatakiwa upate 70% hapa Kazi ipo, hivi baada ya Presentation wanakuuliza Maswali? Naomba kujua.
 
Una maanisha hata ajira portal pia wanakuwepo department husika kuhoji?! Kama ni hivi basis kunakuwepo mchongo aisee,
Hiii unafikiri kama umechaguliwa kuwa AT wa physics udsm utafanyiwa assessment na mtu mwingine??, dadeki ni panel nzima ya idara waliochaguana sio poa,, so unachopresent wanakijua a to z ole wako udanganye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom