Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Kumekuwa na malalamiko kuhusu mgodi wa Mererani kufanya ukaguzi kwa njia ya kudhalilisha ambapo hufanywa hivyo ili mtu asiondoke na madini ya Tanzanite
Katika Ukaguzi imesemekana kuwa watu huvuliwa nguo zote kwa makundi na kuanza kupekuliwa hatua ambayo inaonekana ni ya kudhalilisha
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kwa kuwa mgodi unauingizia nchi fedha nyingi watawekeza katika teknolojia ili ukaguzi ufanyike bila kuwekana utupu
Mbali na kutoa ufafanuzi huo hakusema ndani ya muda gani kutakuwa na hiyo teknolojia ili kuepuka adha ya kuvuliwa nguo
Katika Ukaguzi imesemekana kuwa watu huvuliwa nguo zote kwa makundi na kuanza kupekuliwa hatua ambayo inaonekana ni ya kudhalilisha
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kwa kuwa mgodi unauingizia nchi fedha nyingi watawekeza katika teknolojia ili ukaguzi ufanyike bila kuwekana utupu
Mbali na kutoa ufafanuzi huo hakusema ndani ya muda gani kutakuwa na hiyo teknolojia ili kuepuka adha ya kuvuliwa nguo