Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,446
- 7,817
Mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka ametoa Ombi kwa waziri Mkuu alipokuwa mkoa wa Manyara kuzindua kituo cha Tanzanite Magufuli, kwanza ameomba ukaguzi wa Staha kwa watu wake bila kuathiri mapato ya Serikali mgodi wa Mirerani.
Pia ameomba kuongezwa chumba kimoja kwa ajili ya ugaguzi wa wanawake kwani wanaume wanavyo vitatu na wanawake kimoja pekee.
Ole Sendeka: Mheshimiwa Waziri mkuu, hali ya umaskini imeongezeka Mirerani, mzunguko wa fedha haupo. Dhamira ya mheshimiwa Rais ya wananchi kunufaika na rasilimali za nchi na Tanzanite kupewa hadhi yake kwa kudhibitiwa ili iwanufaishe watanzania kwa ajira, uongezaji wa thamani na usafirishaji wa nje ikiwa na utambulisho wa Tanzania, nina ombi kwako, ikupendeze haya nitakayoyasema
Tunalo geti hili na kituo cha Magufuli, tunaomba badala ya Mirerani kutumika kama uchochoro kwamba madini yanatoka hapa, yakishatathminiwa hapa yanakwenda Arusha, Madini yote naomba biashara yake imalizike hapa Mirerani, soko Mirerani na uongezaji wa thamani
Pia ameomba kuongezwa chumba kimoja kwa ajili ya ugaguzi wa wanawake kwani wanaume wanavyo vitatu na wanawake kimoja pekee.
Ole Sendeka: Mheshimiwa Waziri mkuu, hali ya umaskini imeongezeka Mirerani, mzunguko wa fedha haupo. Dhamira ya mheshimiwa Rais ya wananchi kunufaika na rasilimali za nchi na Tanzanite kupewa hadhi yake kwa kudhibitiwa ili iwanufaishe watanzania kwa ajira, uongezaji wa thamani na usafirishaji wa nje ikiwa na utambulisho wa Tanzania, nina ombi kwako, ikupendeze haya nitakayoyasema
Tunalo geti hili na kituo cha Magufuli, tunaomba badala ya Mirerani kutumika kama uchochoro kwamba madini yanatoka hapa, yakishatathminiwa hapa yanakwenda Arusha, Madini yote naomba biashara yake imalizike hapa Mirerani, soko Mirerani na uongezaji wa thamani