Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,360
- 91,912
- Thread starter
- #41
Ninae wa kitaa mpenz,Wala sijawahi pwaya...sema huyu nilimchukulia serious sanaChaaaaaa sasa unaamua kukaa kinyonge kisa nini jamani, watu wote hawa si ujitwalie hata mzabzab maisha yasonge.......
Kikao cha mwisho haukuwepo sio?? Unyonge ilikua mwisho 2024, ukiachwa asubuhi hakikisha jioni uko deep in love na mtoto wa mtu mwingine.
Kama hauna sema upigwe tafu, kuna watu wana wawili wawili utapunguziwa mmoja, Atoto tunamuomba mmoja aje kuokoa jahazi hapa