Tutaonana tena 5/5/2026

Tutaonana tena 5/5/2026

Ninae mkuu,hivi sikuzote ulijua natombwer na maandishi mkuu!? Sidhani kama upo serious
Nadhani wewe ndio haupo serious kwakuwa kama ungetaka kukaa kimya kweli ungekaa tu kuliko kuja kutulilia hapa tukubembeleze ubaki.
 
Najua mnaweza sema kwanini asiondoke kimyakimya....hapana ...Kuna wapendwa wasiponiona huanzisha thread...ndiyo...am not special ila naona ni upendo tu walionao kwa Wana family wote wa JF.

Napumzika rasmi kuingia JF mpaka tarehe,mwezi na mwaka tajwa hapo juu.

Nawapenda sana na Mungu awabariki sana.
Roho inaniuma Mimi domo zege, natamani kukwambia nakupendaga sana To yeye ila ndio ivo Tena kama samaki majini mdomo umejaa maji.🙄
 
Kwann Sasa unakuja kunisema kwa watu?? 😀 🤣
Yupo humu,tumekosana hata hivyo... nampenda naye anapenda mwingine....mie siyo jogoo kuanza kumfukuzia🤣🤣🤣....hivyo mapenzi si sababu cute
 
Najua mnaweza sema kwanini asiondoke kimyakimya....hapana ...Kuna wapendwa wasiponiona huanzisha thread...ndiyo...am not special ila naona ni upendo tu walionao kwa Wana family wote wa JF.

Napumzika rasmi kuingia JF mpaka tarehe,mwezi na mwaka tajwa hapo juu.

Nawapenda sana na Mungu awabariki sana.
Sisi WAVAA kobazi tumeambiwa "WALA msiseme kuwa jambo fulani nitalifanya kesho au siku inayofuata tutaonana" bali tangulizeni kusema Mungu akipenda ......
 
Najua mnaweza sema kwanini asiondoke kimyakimya....hapana ...Kuna wapendwa wasiponiona huanzisha thread...ndiyo...am not special ila naona ni upendo tu walionao kwa Wana family wote wa JF.

Napumzika rasmi kuingia JF mpaka tarehe,mwezi na mwaka tajwa hapo juu.

Nawapenda sana na Mungu awabariki sana.
Tuyeye leo naomba nilie plz nina mpango
na wewe tena wa mahtuti ya moyo, huruma yako plz umenistukiza sana roho yangu dah
 
Back
Top Bottom