DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,611
- 30,110
Hii cant be applied in our Tanzanian settinglenin na marx walishawahi kusema in order for a changes to occur, violence must be applied if all other necessary and peaceful mean fails to bring the desired results
Hii cant be applied in our Tanzanian setting
Ni kweli si rahisi kutekeleza, inahitaji miaka ya miaka kadhaa huku ukiinject pesa na kumonitor watu ulio wapenyeza.Hili ni wazo zuri ila utelekezaji sio rahisi
Au wewe unadhani inawezekana kwa namna gani?
Hapa ndipo palipo na mkwamo, na wenye madaraka hawawezi kuwa wajinga kiasi cha kuwaacha raia wajipatie silaha kirahisi rahisiIkitokea access ya silaha tuu, utaona badamu batakavyomwagika.
Wakujitoa muhanga ndio kipengeleEgypt chini ya Hosni Mubarak alikuwa na jeshi lenye nguvu na alius wengi, lakini wananchi walijitoa muhanga na Mubarak aliondoka. Na hapa ni kujitoa muhanga tu.
Hata hao wa Egypt walikuwa waoga hadi akawatawala miaka 30+, kama wasingekuwa waoga asingewatala muda mrefu hivyo.Wakujitoa muhanga ndio kipengele
Sawa mkuuNi kweli si rahisi kutekeleza, inahitaji miaka ya miaka kadhaa huku ukiinject pesa na kumonitor watu ulio wapenyeza.
Ikifanikiwa inayo matokeo ya uhakika sana.
Mkuu tuishie hapa ila Congo, Burundi na Rwanda ni majirani zetu na hivyo vitu wanavyo vya kutosha tuu.Hapa ndipo palipo na mkwamo, na wenye madaraka hawawezi kuwa wajinga kiasi cha kuwaacha raia wajipatie silaha kirahisi rahisi
Hii nchi ukiongea utapotezwa au kuuwawa.Morning wana JF
Watanzania tumekuwa tukilalamika kila siku kuhusu uongozi na mambo mbalimbali ambayo hatupendezwi nayo
1. Tumeongea sana tukiomba maboresho ya Katiba
2. Tumezungumza sana kuhusu kupitiwa upya kwa suala la Muungano
3. Tumezungumza kuhusu Mahakama na utendaji kazi wake
(Mpaka sasa tunaona mwenendo wa kesi ya mwenyekiti wa chadema TL inavyoenda huku watu wakiwa na mashaka makubwa )
Na mengine mengi sana
Lakini mpaka sasa hakuna matokeo chanya ya kutosha, licha ya kwamba tulipo leo sio tulipokuwa jana
Kuna mambo yamebadilika, lakini bado kuna mengi ambayo tumekuwa tukiyazungumza kwa miaka mingi bila kuona mabadiliko tunayoyatarajia
Tumeona nchi kadhaa zikifanya jitihada za pamoja
Wananchi wameungana, wameandamana na kudai mabadiliko na katika baadhi ya nchi hata jeshi liliishia kuingilia kati baada ya shinikizo kubwa kutoka kwa wananchi
Hii mifano nimeweka hapa nimesoma huko mitandanoni
👇
Mfano, Philippines mwaka 1986, wananchi waliungana katika maandamano makubwa ya amani yaliyokuja kujulikana kama People Power Revolution, na hatimaye utawala wa Ferdinand Marcos ukaondoka
Tunisia mwaka 2011, wananchi waliingia barabarani kudai mabadiliko na maandamano yakawa makubwa kiasi cha kumfanya Rais Zine El Abidine Ben Ali kuondoka madarakani
Sudan mwaka 2019, wananchi waliandamana kwa miezi kadhaa wakidai mabadiliko, mpaka hatimaye Omar al-Bashir akaondolewa madarakani baada ya miaka takribani 30 ya utawala
Hapa kwetu tulijaribu pia
Kupaza sauti zetu tukiwa na madai mbali mbali
Lakini wote tunajua nini kilitokea October 29 💔
Na wote tunajua mtu anayekwenda kinyume na watawala au anayesema mambo fulani hadharani, mara nyingi kinachoweza kumpata
Ukiongea hadharani unatulizwa
Sasa tutaongea chumbani?
Kama hatuwezi kuongea hadharani, kama hatuwezi kuuliza maswali, kama hatuwezi kukosoa na kudai mabadiliko bila kuogopa, basi tutaikomboaje hii nchi?
Na ninaposema kuikomboa, simaanishi kwamba twende kwenye vurugu au kumwaga damu (nisinukuliwe vibaya)
Ninamaanisha taifa ambalo wananchi wawe waamuzi wa mwisho
Taifa ambalo mwananchi awe na uhuru wa kuzungumza, kuuliza, kukosoa, kuchagua na kushiriki katika kuamua mustakabali wa nchi yake
Kwa sababu sasa tumeongea sana
Tumeandika sana
Tumeomba sana
Tumeilalamikia serikali kwa mambo mengi sana
Lakini swali linabaki pale pale
Nini kifanyike ili tutoke kwenye kulalamika?
Kwa sababu sasa tutalalamika mpaka lini?
Je, tunahitaji nini kama wananchi ili sauti yetu iwe na nguvu na iweze kuleta matokeo?
Na kama nchi nyingine zimewahi kufikia hatua wananchi wakaungana na kudai mabadiliko mpaka yakatokea, sisi tatizo letu ni nini?
Tunashindwa kuungana?
Tunaogopa?
Hatuna imani kwamba tunaweza kubadilisha mambo?
Au bado tunasubiri mtu mwingine aje atufanyie?
ShesRise_1 ✋️
Hakuna mungu anakuja kukusaidia kwenye hili, kwani mmeanza kuomba leo mbona hajibu, hao watumishi wenyewe ndio wako meza moja na watawala mtafanya nini sasa. Bila wananchi wenyewe kuamua hamna kitu kitabadilika.Zamani Mungu alitujibu kwa wakati sisi kama Tanzania...ila kwa sasa dhambi zimezidi....ushoga unaachwa wazi na chukizo kubwa kwenye Taifa...nani atasema na sisi?? Viongozi wa dini wakiongea hawasikilizwi..
Suluhisho ni kuomba sana Mungu atende miujiza...
Nchi haitakombolewa kwa maombi pekee my dearZamani Mungu alitujibu kwa wakati sisi kama Tanzania...ila kwa sasa dhambi zimezidi....ushoga unaachwa wazi na chukizo kubwa kwenye Taifa...nani atasema na sisi?? Viongozi wa dini wakiongea hawasikilizwi..
Suluhisho ni kuomba sana Mungu atende miujiza...
Si unakumbuka lakini last year kilichotokea October?Hii nchi ukiongea utapotezwa au kuuwawa.
Ukijidai muongeaji sana unapewa kesi isiyo na dhamana ili unyamaze
Ukikosoa watawala wanaweza kutoa maamuzi juu yako bila kujali sheria
kilichobaki ni wananchi kutumia haki yao kuandamana kwa nguvu maana kuvumilia huku kukifika mwisho ndio mwanzo wa kuzaliwa vikundi vya magaidi kwenye nchi.
Nakumbuka sana na kinaniuma sana. Ila kile ndio option iliyobaki hawawezi kuua nchi nzima.Si unakumbuka lakini last year kilichotokea October?
Tatizo operation za teeth Huwa wanna balance equation kati ya wabaya na wema kwenye jamii!!Mkuu hakuna linaloshindikana duniani, I can tell you this thing can happen anytime and anywhere.
Zingatia chuki iliyopo Sasa kati ya
Wananchi dhidi ya watawala.
Wananchi dhidi ya vyombo vya ulinzi.
Utanganyika dhidi ya Uzanzibar
Ikitokea access ya silaha tuu, utaona badamu batakavyomwagika.
Binafsi sipendi na wala siombei tufike huko na ndio maana Bado Imani yangu nimewapa TEETH kwamba kuna jambo wanaweza kulifanya na nchi ikatulia.
Rwanda hii hii ya Kagame au Rwanda ipi Mkuu.Mkuu tuishie hapa ila Congo, Burundi na Rwanda ni majirani zetu na hivyo vitu wanavyo vya kutosha tuu.
Maombi muhimu my dia....nchi imefikia pabaya...hayo maombi yataamsha ari na ujasiri....Nchi haitakombolewa kwa maombi pekee my dear
Sawa mkuu ngoja tuoneNakumbuka sana na kinaniuma sana. Ila kile ndio option iliyobaki hawawezi kuua nchi nzima.
Tusubiri na tuoneIt will continue like this until the day you all finally come to your senses !!