Tutafakari:..........furaha, na namna ya kuipata....

Tutafakari:..........furaha, na namna ya kuipata....

Mwaka huu kwangu ulikuwa 50/50... ila ninamuomba Mwenyezi Mungu anisaidie mwakani niwe na furaha 90/20 make duniani huwezu kuwa na furaha 100% ukizungukwa na wanadamu...

Furaha kubwa nitaipata pale tu nikiwa karibu na Mungu wangu... kuna kipindi nilikuwa karibu hakika nilipata furaha....
 
thank you Kaunga na Heaven on Earth umenifumbua namna ya kufikiri tena yawezakana hata 2014 ningekosa furaha pia ,... hope now nitapata furaha

Mungu ni mwaminifu, HOPE ni baba wa furaha; unajua kwanini? Matatizo are as sure as sunshine, yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo. Lakini lile tumaini kuwa hata usiku uwe mnnene kiasi gani, asubuhi itafika ndicho kitakachokupa usingizi.

Ndio maana wacha Mungu wa ukweli wapo happy kuliko wasio amini juu ya uwepo wa Mungu.
 
To buy happines. Sometimes happines is for sale.

SOMETIMES not always.
Basi siendelei, maana nina uhakika wewe wajua zaidi yangu kuwa kuna watu are ready to give all their wealthy ili wapate good health.

Kuna matajiri waliocommit suicide kwa kuhisi wamekosa au kupungukiwa upendo.

I am sure you are joking about mama claire???
 
Kwanza ni vyema kabla ya yote mkatueleza furaha ni kitu gani ili kama watu wanajadili wajue wanajadili kitu gani

Kujadili jambo muhimu kama hili bila kufafanua ni kwa wigo gani na kwa maana ipi tunalijadili ni kutokuwa fair

Furaha ndio msingi wa maisha ya binadam

Kuna furaha na kuna raha

Hayo ni mambo mawili tofautisana

Je tunaijua tofauti?
 
Unajua kwanini mambo yalienda mrama? ni kwaśababu umeweka imani yako kwa mungu badala ya Mungu. Yani badala umtumainie God we unamtumainia god.

Moral: Mpe Mungu heshima yake. Jina lake shurti lianze kwa herufi kubwa.

Ahsante kwa kunielewa.

ahsante kwa masahihisho, nimesha-edit kaka.
 
Naona wengi tumeharibiwa furaha zetu in one way or another, je tumetafakari ni wapi tumekuwa sababu ya kuwakosesha wengine furaha?

Is there anything we can do ili 2014 tuwe sababu ya furaha kwa wengine, l am sure in so doing we will ne more happy kuliko kutegemea kutendewa tu. Maana kweli furaha ya kweli hutoka kwa Mungu, lkn Mungu hutumia binadamu kufanya kazi au kugawa baraka zake, basi tunapomuomba tusisahau kumuomba atutumie pia kupitisha furaha kwa viumbe wake badala ya kuomba tu kupewa furaha. Mnaonaje?
 
SOMETIMES not always.
Basi siendelei, maana nina uhakika wewe wajua zaidi yangu kuwa kuna watu are ready to give all their wealthy ili wapate good health.

Kuna matajiri waliocommit suicide kwa kuhisi wamekosa au kupungukiwa upendo.

I am sure you are joking about mama claire???

Usisahau kuna wengine pia wanataka wealth ili wapate good health. Kuna maskini pia wamecommit suicide kwa kuwa tu wanashindwa kuzihudumia familia zao kwa sababu ya umaskini.

Kwa kifupi ni heri ufie kwe BMW kuliko kwenye bajaji. Heri ukimbizwe hospitali kwa ambulance badala ya kwa baiskeli ya mwenyekiti wa kijiji.

Am not joking, give me money and I will show and share with you my happiness
 
Usitegemee kupata furaha kutoka kizazi hiki cha facebook, twitter, iPad, nk. Bora kwanza ujipende na ujifurahishe wewe mwenyewe mengine baadae kama yatapatikana.
 
Kwanza ni vyema kabla ya yote mkatueleza furaha ni kitu gani ili kama watu wanajadili wajue wanajadili kitu gani

Kujadili jambo muhimu kama hili bila kufafanua ni kwa wigo gani na kwa maana ipi tunalijadili ni kutokuwa fair

Furaha ndio msingi wa maisha ya binadam

Kuna furaha na kuna raha

Hayo ni mambo mawili tofautisana

Je tunaijua tofauti?

Ni tafakuri tu na sio debate, ndio maana sikuona sababu ya kudefine furaha ili watu wapate uhuru wa kutafakari maisha yao, naimani wengi wamefanya hivyo hata bila kuweka humu.

Lakini bado haijakatazwa kuweka mchango wako ambao umekaa vizuri zaidi with définitions n all that.
So karibu kuelezea maana na tofauti za furaha na raha.
 
Back
Top Bottom