Tutafakari:..........furaha, na namna ya kuipata....

Tutafakari:..........furaha, na namna ya kuipata....

Wow, sikulijua hilo. Ntamwomba Mungu aendelee kunipa maujuzi ya kuandika maneno matamu ili mwakani badala ya kukufanya utabasamu tu, uwe unacheka kwa furaha. Angalizo: usicheke sana mpaka uachie ushuzi mbele ya wakwe zako. Ni hatari kwa afya yao.
kuachia ushuzi ni dalilim kuwa mtu ni mzima. madaktari wanajua hilo
 
Nakukubali upo vizuri sana. unajua tunapendajibu haraka kabla hatujamuelewa mtu. mimi furaha kubwa kwangu ni kuwa na afya nzuri, kufanya kazi na kujali watu. hata kama sina pesa huwa si neno sana lakini kama nina watu behind Am always happy! umeniongezea pia kitu siku ya leo thanks!

Afya kweli ni kitu cha msingi sana, ila wengi we take for granted mpaka tukienda kuwaona wagonjwa hospitali. Mungu aniongezee afya na moyo wa ibada 2014.

Asante rafiki kwa kukumbusha vitu muhimu.
 
You are not stupid bana. Pesa ndo mpango mzima. Tena Fyi, Pesa inachangia sana kuleta furaha. I love them money....
aspirin, nakubaaliana na wewe kwa sehemu ila pesa ki ukweli ina pande mbili ya furaha na karaha. mie mzee wa falsafa nimejifunza hilo
 
2012 haukuwa mwaka mzuri sana kwangu, kuna mambo mengi yalinichanganya sana na yaliniweka njia panda.
Ila nilianza 2013 nikiwa na determination ya kupata furaha, i told myself that 'happiness depends upon myself'. It is not something ready made, i had to create it myself

first step ilikuwa kuacha kuwaza na kufikiria yale yaliyoninyima furaha 2012, na hata wale watu walioninyima furaha pia.
kufanya vitu vinavyonifurahisha na kunifanya nijisikie vizuri, loving myself, working hard to achieve my goals, kubwa zaidi ni kujifunza kusamehe na kusahau yaliyopita but at the same time kuwa makini na muangalifu na watu/ vitu vilivyonikosesha furaha huko nyuma.

I am looking forward to a happy 2014, with the help of God, naamini 2014 utakuwa mwaka mzuri kwetu sote, namuomba Mungu atujaalie afya njema na wote tuwe na furaha
 
Afya kweli ni kitu cha msingi sana, ila wengi we take for granted mpaka tukienda kuwaona wagonjwa hospitali. Mungu aniongezee afya na moyo wa ibada 2014.

Asante rafiki kwa kukumbusha vitu muhimu.
thanks 4 appreciation
 
aspirin, nakubaaliana na wewe kwa sehemu ila pesa ki ukweli ina pande mbili ya furaha na karaha. mie mzee wa falsafa nimejifunza hilo

Aisee give me money and I will give you my wife.

Pesa sabuni ya roho mzee wa falsafa.
 
2012 haukuwa mwaka mzuri sana kwangu, kuna mambo mengi yalinichanganya sana na yaliniweka njia panda.
ila nilianza 2013 nikiwa na determination ya kupata furaha, i told myself that 'happiness depends upon myself'. It is not something ready made, i had to create it myself

first step ilikuwa kuacha kuwaza na kufikiria yale yaliyoninyima furaha 2012, na hata wale watu walioninyima furaha pia.
kufanya vitu vinavyonifurahisha na kunifanya nijisikie vizuri, loving myself, working hard to achieve my goals, kubwa zaidi ni kujifunza kusamehe na kusahau yaliyopita but at the same time kuwa makini na muangalifu na watu/ vitu vilivyonikosesha furaha huko nyuma.

I am looking forward to a happy 2014, with the help of god, naamini 2014 utakuwa mwaka mzuri kwetu sote, namuomba mungu atujaalie afya njema na wote tuwe na furaha

Nice to hea this. maana imani is so powerful. kwa imani unaweza uambia mlima uondoke nao ukaondoka (maandiko matakatifu not word by word). nawe kwa imani basi itakuwa hivo. na ubarikiwe
 
Aisee give me money and I will give you my wife.

Pesa sabuni ya roho mzee wa falsafa.

acha porojo we! ukisikia kuna mtu yuko nae mahali huku ukipata kale kenye uchungu mahali chenji hujarudishiwa si utakurupuka na chenji utaishau?
 
2012 haukuwa mwaka mzuri sana kwangu, kuna mambo mengi yalinichanganya sana na yaliniweka njia panda.
ila nilianza 2013 nikiwa na determination ya kupata furaha, i told myself that 'happiness depends upon myself'. It is not something ready made, i had to create it myself

first step ilikuwa kuacha kuwaza na kufikiria yale yaliyoninyima furaha 2012, na hata wale watu walioninyima furaha pia.
kufanya vitu vinavyonifurahisha na kunifanya nijisikie vizuri, loving myself, working hard to achieve my goals, kubwa zaidi ni kujifunza kusamehe na kusahau yaliyopita but at the same time kuwa makini na muangalifu na watu/ vitu vilivyonikosesha furaha huko nyuma.

I am looking forward to a happy 2014, with the help of god, naamini 2014 utakuwa mwaka mzuri kwetu sote, namuomba mungu atujaalie afya njema na wote tuwe na furaha

Unajua kwanini mambo yalienda mrama? ni kwaśababu umeweka imani yako kwa mungu badala ya Mungu. Yani badala umtumainie God we unamtumainia god.

Moral: Mpe Mungu heshima yake. Jina lake shurti lianze kwa herufi kubwa.

Ahsante kwa kunielewa.
 
Nice to hea this. maana imani is so powerful. kwa imani unaweza uambia mlima uondoke nao ukaondoka (maandiko matakatifu not word by word). nawe kwa imani basi itakuwa hivo. na ubarikiwe

Sijui ni Roho wa Mungu au nani ananimbia hujaenda kanisani mwaka mzima huu 2013. Unaweza kumprove wrong mzee wa falsafa?
 
Back
Top Bottom