Tutafakari:..........furaha, na namna ya kuipata....

What will you do with that $$$$? Wakati unatafakari, ujiulize hicho utakachofanya ili iweje? I mean end result ni nini?
I am sure itakuwa ili ufurahi na kuwapa furaha wapendwa wako. So why not take the happiness box and save your self all the troubles of seeking for happiness?
Point yangu pesa sio kila kitu ni njia tu ya kukuwezesha kupata furaha, lkn yaweza kukukosesha furaha pia, maana badala ya pesa kukutumikia wewe utakuwa unaitumikia kiasi kwamba waweza usilale kwa kuilinda pesa.

your right ma dear ... thank you i will choose happeness box
 
Kaunga, Hoja yako ni ya kifalsafa sana. mtu mwenye haraka anaweza kujibu hivihivi tu kumbe inataka muda kufikiri na pengine ku-consult sources. Kwana kabisa ni kujiuliza furaha ni nini. ni hali ipi mtu atakuwa nayo ili tuseme hiyo ni furaha? na je, furaha kwa X inaweza kuwa furaha kwa Y? Je, furaha ina muda yaaani inaweza kudumu muda gani? je furaha inaweza kuwa pia ni kero kama msemo wa kiingereza unavosema too much of every thing is harmful? kwa hiyo kama utasema pesa mtu mwingine hajawahi kuona katika maisha yake kama pesa ni tatizo. wengine wana afya mbaya nao wangeona kuwa uzima ni furaha kwao. Kwangu mimi naona kuwa kama utaweza kutimiza maagizo ya Mungu ya kufanya kazi na kula kwa jasho lako angalau utapata furaha. meanas if you fit in the environment then you are happy!

Ni kweli, ndio maana nikasisitiza tutafakari. Kuna furaha aina nyingi na za muda tofauti.
Mfano furaha ya orgasm yaweza last muda mchache sana, furaha ya kuhisi unapendwa, inakuja na kuondoka na kuja tena, furaha ya kuachieve kitu, etc.

Halafu kuna jinsi ya kuipata hiyo furahya, ni by default, effort au evil ways hiyo pia huchangia how long hiyo furaha italast lkn pia na intensity ya hiyo furaha.

Mimi furaha kubwa na inayolast hata kwa miaka ni kuweza kumsaidia mtu na nikiona amefanikiwa. Yaani smile hainitoki usoni mwangu.
 
2013 na uishe mapema. Labda 2014 ntapata furaha.

2013 ilikuwa full majanga kwa odm. hata furaha kiduchu nloipata imefunikwa na majanga lukuki yaliyonikumba.

Ila namshukuru Mungu, kwa neema zake, nimeyashinda majaribu.

RIP 2013, Mungu anisaidie niuvuke salama mie pamoja na familia yangu, wazazi wangu, wapendwa wangu, ndugu, jamaa, marafiki na hata maadui zangu.

Kwa niaba ya maadui zako wote tunasema AMEN
 
Habari dada wa mimi Kaunga,
To me 2012 was much better than 2013,2013haukua mwaka mzuri kwangu na kama kuna kipindi nilikuwa na furaha basi haizidi 40% ya mwaka.
Silaumu ila naamini ni mitihani katika maisha,naona nikiinuliwa kuelekea 2014 nikiwa na afya njema na matumaini ya amani na furaha maradufu katika mwaka ujao. Mungu ni mwema sana na anatenda kila iitwapo leo.
Uwe na mwaka mpya wenye mafanikio my dada.
 
2013 na uishe mapema. Labda 2014 ntapata furaha.

2013 ilikuwa full majanga kwa odm. hata furaha kiduchu nloipata imefunikwa na majanga lukuki yaliyonikumba.

Ila namshukuru Mungu, kwa neema zake, nimeyashinda majaribu.

RIP 2013, Mungu anisaidie niuvuke salama mie pamoja na familia yangu, wazazi wangu, wapendwa wangu, ndugu, jamaa, marafiki na hata maadui zangu.

amen Mungu azidi kukulinda rafiki,..
 
Indeed, kila kilicho chema ni kwa Neema ya Mwenyezi Mungu.
Vipi mwa huu ulikuwa kind kwako na wewe hukuwa sababu ya kuwakosesha wengine furaha?
Karibu tena naona umerudi rasmi. Kisusio vipi? Kweli Raha jipe mwenyewe
 
2013 na uishe mapema. Labda 2014 ntapata furaha.

2013 ilikuwa full majanga kwa odm. hata furaha kiduchu nloipata imefunikwa na majanga lukuki yaliyonikumba.

Ila namshukuru Mungu, kwa neema zake, nimeyashinda majaribu.

RIP 2013, Mungu anisaidie niuvuke salama mie pamoja na familia yangu, wazazi wangu, wapendwa wangu, ndugu, jamaa, marafiki na hata maadui zangu.

Yaani nazidi kuuona Uaminifu wa Mungu wetu ambaye hakusema hatutapambana na majanga bali alituahidi kutuvusha (see us through), nina amini 2012 imekuequip you with nguvu na imani thabiti kiasi kwamba 2014 itakuwa kama kumsukuma mlevi.

Ila umekuwa sababu ya furaha kwa wengi hasa hapa jamvini, posts zako siku zote zanipa big smile.

Ubarikiwe.
 
furaha ninayo ya kutosha ila 2014 nikipata kazi inayonilipa fresh furaha yangu itaongezeka zaidi.
 
Habari dada wa mimi Kaunga,
To me 2012 was much better than 2013,2013haukua mwaka mzuri kwangu na kama kuna kipindi nilikuwa na furaha basi haizidi 40% ya mwaka.
Silaumu ila naamini ni mitihani katika maisha,naona nikiinuliwa kuelekea 2014 nikiwa na afya njema na matumaini ya amani na furaha maradufu katika mwaka ujao. Mungu ni mwema sana na anatenda kila iitwapo leo.
Uwe na mwaka mpya wenye mafanikio my dada.

Pole mdogo wangu mpenzi, kama Asprin atleast Tumshukuru Mungu kwa kutuvusha tukiwa wazima na kutupa nguvu ya kukabiliana na magumu, naamini mwaka ujao utakuwa wetu.
 
Yaani nazidi kuuona Uaminifu wa Mungu wetu ambaye hakusema hatutapambana na majanga bali alituahidi kutuvusha (see us through), nina amini 2012 imekuequip you with nguvu na imani thabiti kiasi kwamba 2014 itakuwa kama kumsukuma mlevi.

Ila umekuwa sababu ya furaha kwa wengi hasa hapa jamvini, posts zako siku zote zanipa big smile.

Ubarikiwe.

Wow, sikulijua hilo. Ntamwomba Mungu aendelee kunipa maujuzi ya kuandika maneno matamu ili mwakani badala ya kukufanya utabasamu tu, uwe unacheka kwa furaha. Angalizo: usicheke sana mpaka uachie ushuzi mbele ya wakwe zako. Ni hatari kwa afya yao.
 
Pole mdogo wangu mpenzi, kama Asprin atleast Tumshukuru Mungu kwa kutuvusha tukiwa wazima na kutupa nguvu ya kukabiliana na magumu, naamini mwaka ujao utakuwa wetu.[/QUOTE]

Naamini hivyo pia dada.
 
Ni kweli, ndio maana nikasisitiza tutafakari. Kuna furaha aina nyingi na za muda tofauti.
Mfano furaha ya orgasm yaweza last muda mchache sana, furaha ya kuhisi unapendwa, inakuja na kuondoka na kuja tena, furaha ya kuachieve kitu, etc.

Halafu kuna jinsi ya kuipata hiyo furahya, ni by default, effort au evil ways hiyo pia huchangia how long hiyo furaha italast lkn pia na intensity ya hiyo furaha.

Mimi furaha kubwa na inayolast hata kwa miaka ni kuweza kumsaidia mtu na nikiona amefanikiwa. Yaani smile hainitoki usoni mwangu.
Nakukubali upo vizuri sana. unajua tunapendajibu haraka kabla hatujamuelewa mtu. mimi furaha kubwa kwangu ni kuwa na afya nzuri, kufanya kazi na kujali watu. hata kama sina pesa huwa si neno sana lakini kama nina watu behind Am always happy! umeniongezea pia kitu siku ya leo thanks!
 
Wanajamvi,
Kuelekea mwishoni kabisa mwa 2013, naomba tutafakari juu ya hii kitu
ambayo kila mmoja wetu anachakarika katika kuitafuta FURAHA.

Je umeipata au umeikaribia?
Ilidumu kwa muda gani?
Ni muda gani in % umekuwa na furaha?

Ulifanya nini ili kuipata hiyo furaha?
Ulimkanyaga mtu kichwani ili uipate hiyo furaha?
Nini kilichokuondolea au kukupunguzia furaha?

Twenty forteen, utafanya nini ili upate furaha zaidi au furaha idumu
zaidi.

Nawatakia mwaka mpya 2014 wenye furaha zaidi na itakayolast longer.
Loads of love
Kaunga

maisha haya yamejaa changamoto nyingi... katika kazi, mahusiano(kazini, nyumbani n.k), familia, biashara na mengine mengi yaliyotuzunguka.

amani na furaha ya kweli yapatikana kwa Mungu kwa njia ya imani. Kuna mdau mmoja kataja wimbo wa It is well naupenda sanaaaa pamoja na Mbele ninaendelea ninazidi kusogea... huwa zinanifariji sana.

kesho yangu siijui... Kwa neema ya Mungu najua itakuwa nzuri kwa kuwa yeye ananijua toka nikiwa tumboni mwa mama yangu. Namshukuru yeye aliyenilinda hata kufikia leo naamini atanivusha salama.

Wish u happy new year Kaunga n all MMU friends.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom